Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,589
- 235,446
Bado hayupo vizuri sana aiseeHakuna timu iliyokamilika”,. Utofauti huja kwenye uwezo binafsi zaidi pale mbinu za kocha zinapogonga mwamba”,.
Ndio kweli nakununulia unataka rangi ganiWee
Kweli?😂😂😂
Thanks in advance🥰🔥🔥🔥🔥
Navaa medium
Yeye kama anaona timu inatosha sawa.Hii kauli ya amepokea kikosi kizuri mnaitumia vibaya sana.
Slot ametoka timu gani? Feyernood, can you compare Feyernood na hata Brentford,? Licha ya LFC, yes alikuwa na kikos cha Feyernood sasa amekutana na LFC yenye world class players and mid world class player, ulitarajia nini?
Mf. Wewe ukitoka ofisi A ulipokuwa unatumia Desktop yenyewe window 7 RAM 2 storage 128GB ukahamia ofisi B yenye desktop window 10 yenye RAM 4 na storage 500GB, utahisi nini hapo?
Hakusema kikosi hakina madhaifu, hakusema hahutaji kuongezewa nguvu, ameridhi kikosi kizuri of which is 100% true compare to where he was at.
Enjoy any good moment you have,.
Shikamoo dada”
YNWA
Hiyo nyeusi imekaa poa sanaNdio kweli nakununulia unataka rangi gani
Poa njoo pmHiyo nyeusi imekaa poa sana
Bado hayupo vizuri sana aisee
Tusije kuanza tiamaji tiamaji ligi ikikolea
Hii timu mimi sina hamu nayo tena kwa iliyotutenda mwakajana
Tulianza hivihivi kucheza vizuri hadi ikafika January tupo moto.
Kilichofuata...
Wee
Kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]
Thanks in advance[emoji3059][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Navaa medium
Msimu jana ndio kibokoLast season ndio ugonjwa wetu miaka yote tuliyokosa ubingwa kwa points kadhaa au kutema ubingwa kama last season tukiwa kwenye good point ya kuubeba. Late january - April tutaona tutakuwa wapi”,.
YNWA
Yeye kama anaona timu inatosha sawa.
Sisi tumachotaka ni makombe.
Asije akarudia utoto wa Klopp
Kujidai baba miujiza yeye mzee wa yasiyowezekana kushinda bila kikosi kipana.
Wewe huninunulii hiyo nyeusi?😂😂😂Medium mtoto wa alfu 2 kabisaa’
Msimu jana ndio kiboko
Yaani ni kiboko aisee
Liverpool hii ilikuwa inashinda kila mechi
Yaani sikuamini macho yangu
Majeruhi yakianzaBasi kuwa mpole ngoja tutengeneze timu
YNWA
Wewe huninunulii hiyo nyeusi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweliSlot ku-win his first 3 games ilikuwa ni vital sana.
Upcoming coaches wengi huwa wana-fail kwenye big clubs, kwa kubadilisha principles zao mambo yakiwa yanaenda kombo.
Leo, alichokifanya Slot imekuwa ni BIG SCARE kwa wengi, especially kwa suala la 3 at the back, tena tukiwa na CB mmoja tu at the back (VVD), when was the last time we played 343? its ok to draw games sometimes, haina haja ya kupanic, especially msimu wako wa kwanza at the club ambapo bado una muda mwingi sana wa kuweka vitu sawa.
Natumaini, ata-stick na his principles, maana ikitokea tume-fail kushinda on Tuesday, miluzi itakuwa mingi sana.
Unaninunulia au unataka unichoshe tu kuuliza😂😂😂😂😂Umeipenda nyeusi??
Yaani hii timu sina hamu nayoQuadruple ilikuwa nje nje” ila dah.!!
1. Lack of depth
2. Quantity over quality
3. Injuries & fatigue
YNWA
Unaninunulia au unataka unichoshe tu kuuliza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uzi wa msimu huu sina hata mmoja
Wewe nipe wowote nitashukuru.
Front page needs to be edited. Anfield capacity changed this season. Also, there is a new manager. Not Klopp anymore.
Baba Swalehe unaitwa huku.Aisee
Jamani
Ajitolee mtu aninunulie hii jezi jamani🔥🔥🔥🔥
Ikiwa #66 itapendeza zaidi