Janjaweed KOPS is big club.Period
Miaka ya 2000's ligi ya Spain hasa wakati wa Golden Era Spain aliyetamba ni BARCA hii haina maana kuwa Madrido alikuwa small club!
Italy Milan AC na Inter wote wana vikombe 18 ya ligi lkn sasa wana suasua hii haina maana kuwa sasa hawa giants ni small clubs kaka!
Nitakubaliana na wewe tu kuniambia kuwa we are not good lkn sio kama Kops ni team ndogo!Legacy ya Majogoo huwezi ukaimaliza kwa miaka 10 kaka!Man City mabingwa Uingereza mara 2 kwa miaka 3 ina maana Man City ni team kubwa zaidi ya Liverpool?Chelsea ni team kubwa zaidi ya Liverpool?Kwa takwimu zipi?
Mwisho jamani tubishane kwa hoja sio matusi
I agree, we are big but shitty at the moment... and not attractive to players, hata raheem anatusumbua
Hodi humu ndani mbona pamenuka hivi kulikoni?
Formation 4-3-3 lineup Mignolet> Manquilo> Toure> Skrtel> Moreno> Henderson> Gerald> Can> Sterling> Lambert> Lallana But line-up yet confirmed!
Inakuwaje hapa, naanza kuangalia mchezo naona dakika ya 2 pili lakini 1 - 0!
defensive errors kama kawa
SG should be moved further forward ampishe Emre kwenye holding
Sijui lini BR ataacha ubishi wa kikuku
nmeshangaa Can kukaa bench!
GJ kuanza!
na 4-3-2-1!!!
defensive errors kama kawa
SG should be moved further forward ampishe Emre kwenye holding
Sijui lini BR ataacha ubishi wa kikuku
hata mie nimeanza kumchoka huyu kukuLose or draw today, I'll be at the frontline backing an inquest that'll lead to BR's ouster.
He has enjoyed more support from the loyal die-hards like myself than he has actually deserved (mainly kutokana na performance ya last season)lakini kwa huu ujinga na ukichwangumu wake huu wa leo he's eating into my nerves.
hata mie nimeanza kumchoka huyu kuku