offcourse mna wachezaji wazuri,lakini hamna timu nzuri! Man city wana wachezaji wazuri na timu nzuri! Sisi tuna timu nzuri sana! But when it comes to football,anything may happen! N thats why i was not suprised tulipowapiga man city iliyosheheni word class players! Anfield is the special place to play football! Nina hakika you are nt going to win this match! Naelewa ugumu wa match ndo mana nikasema wining this game will not be an easy task.karibu kwa upotoshaji zaidi.
#redordead #YNWA!
Ntuzu tukutane kule kwetu; maana hapa watakuja wale wanaotumia nguvu kuliko akili watakutukana.au umesahau?
Great season... itakua bonus tukupata kombe but anything from now ni over-achievement tu
2006 tulipokuwa safarini kuelekea kwenye ubingwa wetu mara ya 2 mfululizo; tulikuja ANFIELD tukachinja jogoo 4-1.
Mlilala mapema sana siku ile..
We're coming..ubaya ni kwamba pressure iko kwenu si kwetu..sisi tutacheza kuwafundisha heshima..UTII BILA SHURUTI. siku hiyo mtachanganyikiwa sana.:smile-big:
Ongeeni sana coz ni kawaida yenu...but one thing is for sure-Anfield hamtatoka and it will be our pleasure kuchukua ubingwa kwa kuwachapa ninyi na kukata ngebe zote!!!
Karibuni Anfield...!
The Magnificent unatengua kauli Yako mwenyewe? Khe Khe Khe
Napata shida kidogo kukuelewa ktk uchambuzi wako unapoilinganisha Chelsea na Liverpool na Man City!
Chelsea msimu huu imewapiga nyote Vzr tu! Sasa iweje city waonekana timu nzuri au Liverpool kuliko chelsea? Bila Shaka Wewe uko kinyume au una mahaba Zaidi!
Timu inayoshinda au kumfunga mwenzake Ndio timu nzuri! Tumeipiga city, Arsenal na Utd! Na Tunakuja kwako kukupiga!
MKUU hawa jamaa wanachonga sana aisee ni bora tukose kombe lkn tuwe tumemtandika vilivyo Chelsea maana hata kombe tukibeba huku tukiwa hatuja mwazibu huyu Mwana haram atachonga sana aisee na ubingwa utaonekana wa mafungu watajifanya kama wao ubingwa wetu haukawajumuisha .
hawa aisee inabidi tuwaazibu vilivyo ili kuwakata ngebe zote
MKUU hawa jamaa wanachonga sana aisee ni bora tukose kombe lkn tuwe tumemtandika vilivyo Chelsea maana hata kombe tukibeba huku tukiwa hatuja mwazibu huyu Mwana haram atachonga sana aisee na ubingwa utaonekana wa mafungu watajifanya kama wao ubingwa wetu haukawajumuisha .
hawa aisee inabidi tuwaazibu vilivyo ili kuwakata ngebe zote
Kwa hiyo Crystal Palace na Sunderland ni wazuri kuliko Chelsea...kwa hiyo argument yako, sivyo???
Hongera kwa hilo coz umenifanya nikajua timu nzuri zikoje!
Usihofu mkuu hawa wakija Anfield lazima wachapwe...vijana NIA wanayo...SABABU wanayo na UWEZO wanao wa kumnyamazisha Mouthrinho!
YNWA...!
Mate 1990 nlikuwa form four. Na umri huu natamani nione tena ndoo ikitua Anfield wakati binti yangu wa 'mazoezi' akiwa form four. Ni njema kwa afya yangu ujue.
Usisahau by that time ndo ulikuwa unaniibia na kuninyang'anya Naki wetu. Damn you!!!
Mkuu usihofu kwa jinsi vijana walivyo determined am very sure hii ndoo tunabeba!
Dalili na records zote zinaonyesha huu mwaka ni wetu... ila lazima tulibebe kombe kwa mbinde ili liwe TAMU zaidi!
Mungu amrehemu Morinyo. Kifo chake ndo uzima wetu, coming the next match....
Kama wewe Kuku sie Jogoo!Dua ya Kuku!!
hahaaaaa....Mate 1990 nlikuwa form four. Na umri huu natamani nione tena ndoo ikitua Anfield wakati binti yangu wa 'mazoezi' akiwa form four. Ni njema kwa afya yangu ujue.
Usisahau by that time ndo ulikuwa unaniibia na kuninyang'anya Naki wetu. Damn you!!!