Teh Teh Teh
Haka Ka thread Siku hizi kamechangamka Siku hizi!
Khe Khe Khe Khe Khe kumbe Wana Liverpool mmefufuka!
Teh Teh Teh
Mkuu! Kalikua kamekufa sn Haka kathread tumekafufua! Ila wanaongea Hawa jamaa!
we lazim ni manure unapepepepe sanaNashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.
Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...
Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!
Leo tunaichakaza timu mnayoiogopa EPL...!
sema we ndo umefufuka wenzio ni daima kama swalaBrendan Rogers ndo ameifufua thread yetu bana...!
Leo tunaua...YNWA!
we lazim ni manure unapepepepe sana
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...
Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..
Brendan Rogers ndo ameifufua thread yetu bana...!
Leo tunaua...YNWA!
subiri zamu yako!tunaleta posa siku si chacheSisi ndio kiboko yenu nyie!
Mnalipiza kwa kuifunga city Leo!
Sisi tumempiga city ndani nje!
Chelsea kiboko yenu wote!
Nashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.
Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...
Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!
hahahahah
Gerrard is not a world class player????
Nimecheka sana aiseee!!!!!
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...
Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..
Acha kabisa..si humu tu, hata mtaani, eti siku hizi wanatamba nao...
Hawa jamaa wasiposhinda kombe msimu huu, wengi watakufa kwa hasira..
Nashangaa hawa mashabiki maandazi wa loserfools wanasema nina chuki binafsi, wakati nimewasifia.
Kocha wao msimu huu amekuwa mzuri sana, tofauti na msimu jana...hili ni fundisho kwa wale Moyes' haters...give the man a season to learn, and then start throwing jabs and uppercuts to him the second season...
Huyo Gerrard, nimewaheshimu tu...ndio maana SAF alisema hajawahi kumwona Gerrard kama mchezaji mzuri...na ana uchu na EPL huyo...akilikosa msimu huu, ndio imekula kwake!
Andazi babu yako, huna lazima ya kuchangia kwenye thread yetu ushaona Special so hatuhitaji kusifiwa tumekuwa hivi muda tu bila ya ww
subiri zamu yako!tunaleta posa siku si chache