Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,366
- 13,117
Good.Kwa upande wangu, naumia sana na "uwezo" wa kitechnolojia kwenye viwanda vyetu. Sisi tumekua end users tu.
Viwanda vyetu vinatengeneza bidhaa ndogo ndogo tu juice, etc.
Serikali ingeruhusu wawekezaji wa kigeni waje aisee.
Nimeona hii kitu.Mchina hatari sana na bado China ni soko kubwa la magari kutoka nchi za Ulaya na Marekani.
Pamoja na China kuwa na brands nyingi sana, China-based auto companies bado zinashika soko la China kwa 60% ina maana 40% ni kutoka nje
Juzi kati CEO wa Mercedes Benz alikuwa analaumu nchi za Magharibi kuzuia EV kutoka China
Unajua kwa nini?
CEO anajua China nao wakilipiza inakula kwao maana China ni mojawapo ya soko kubwa la luxury autos kutoka Magharibi
Ni sawa na Apple mauzo makubwa ya simu za iPhone ni soko la China
Kwa sasa China ndio taifa linaloongoza duniani kwenye GDP per capita on Purchasing Power Parity. Kampuni zote zenye brand kubwa duniani zinajua umuhimu wa soko la China
Ndio maana hata makampuni ya West yameaingia joint ventures na ya China ili kulinda soko
😂👐Mchina nyoko
Angalia jinsi anavyochuma mabilioni ya dola huku afrika kisha anazipeleka nchini kwake.
Mchina anavuna mabilioni ya dola huku afrika kupitia:
1. Bidhaa za viwandani, mfano nenda pale kariakoo uone, check mapikipiki yalivyo jaa hapa nchini mpaka imekuwa kama uchafu, zote zile ni hela zimeenda China.
2. Kupitia kandarasi mbalimbali tunazowapa hasa za ujenzi
Magu aliwapa UK wachimbe nickel pale bukoba,Hivi serikali yetu haiwezi kuona fursa angalau kuwashawishi moja ya makampuni ya Electric cars mfano BYD kutoka china waje kuwekeza nchini?
BYD wako kasi sana. Ni future (Toyota) soon tutaanza kuyaona kila mahali.
Inabidi zije bodaboda za electricitySerikali tungeni Sheria Kali za bodaboda haiwezekani mtu unanunua hizo vyombo halafu bodaboda anakuja kukuwangua si hatari hiyo
umeme ukikataBMW
Mjerumani kaleta gari mbili, BMW i4 na Mini Cooper iitwayo Aceman. Zote za umeme.
View attachment 2974689
ila yule jamaa aliyekuwa anauza madafu mitaa ya ikulu ataimudu aiseeBila hela ya madafu ya tiharaei.
Kubabaqe.
Muuza madafu wa Ikuluila yule jamaa aliyekuwa anauza madafu mitaa ya ikulu ataimudu aisee
Sijui ni wizara ya mambo ya nje au ya viwanda, wangefanya mchakato mapema.Hivi serikali yetu haiwezi kuona fursa angalau kuwashawishi moja ya makampuni ya Electric cars mfano BYD kutoka china waje kuwekeza nchini?
BYD wako kasi sana. Ni future (Toyota) soon tutaanza kuyaona kila mahali.
Ipo siku 🙏🙏Lamborghini Urus SE
Wakali kutoka Italy, Lamborghini wametuletea plug in hybrid (PHEV) ya kwanza kutoka kwao
Lamborghini Urus SE, ambayo ni SUV.
Hii ni kwa wanajamiiforums waliokataa kununua Lamborghini kwa kisingizio inakunywa sana mafuta, Haya Hybrid hii hapa, ina average consumption ya 12 L/100km (8.3 km/L)
View attachment 2976753
Urus SE ina twin-turbo 4.0L V8 engine ikiwa na mota za umeme ambazo kwa pamoja zinakupa horse power 800, na maximum speed ya 312 km/h. Urus kwenye EV range inaweza kufika hadi 60km.
View attachment 2976754
Design ya Urus ni unyama, kwanza wameleta muundo mpya wa taa za LED, wamebadirisha muonekano wake wa mbele kuanzia grille na bumper, na nyuma wamesema design imekua inspired na Gallardo (Hii ilikua model ya Lambo miaka ya 2003 hadi 2013).
View attachment 2976755
Ndani utajiona kama pilot wa jet fighter, kuna 12.3-inch touchscreen ikiwa na upgraded "Human Machine Interface" (HMI).
View attachment 2976761
Lamborghini wanasema Urus SE imepunguza madhara kwenye mazingira kwa silimia 80 ukifananisha na model iliotangulia.
Hiki chombo haswa... Niliona walikuwa wanakipima mapafu jamaa mmoja account yake inaitwa CARWOW kule YouTube. Chuma kimetulia sana.Lamborghini Revuelto
Lamborghini hawakuishia kutuletea Urus SUV pekee, wakaleta na first ever supersport hybrid car, iitwayo Lamborghin Revuelto. Hii ni model inayofuata baada ya Aventedor.
View attachment 2976764
Hii ni 6.5L engine V12 (ndio sijakosea. Sio V8 ni V kumi na mbili) hybrid plug-in (HPEV) ikiwa na electric motors 3, jumla tunapata karibia 1000+ horse power. Top speed ya hii gari ni 350 km/h na acc ya 0-100 km/h ni 2.5 sec. Battery ina ukubwa wa 3.8 kWh na inakupa chini ya kilometa 15 range.
View attachment 2976765
Ni Bora hizo ndugu, Kuliko hizi ninazo pukutisha raia dailyVipo ivo vidogo sema range yake ndogo sana. Unakuta kilometa 40 hadi 60. Pale Kariakoo opposite na Pizza Hut kuna charging stations kabisa.
mpaka nimetetemekaWaafrika tuna jifunza nini katika huu uzi ? Mfano tuchukulie nchi yetu Tanzania.
Ningependa kuona hili swali likijibiwa na watu humu.
Nitaimudu. Kazi gani hiyo muuza madafu nije kuipiga?