Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
- Thread starter
- #1,301
Hakika..
sijui hawaoni wenzie
Hakika..
na watz tulivo wazembe kupiga kura atatoka tu
He is among the best African musicians. Aliimba nchi ya ki2 kidogo if u remember. Pia Twende twende with Oliver MyukudziErick wainana ndo nani
Kwakeli huyu jamaa kanikera sana nikiangalia watu walivyo perfom. Kwa kweli nasikitika kuwa hisia anaweza kurudi tz wiki ijayo yani kaniaikitisha kuzidisha utozi.yani mi watu wanavyozidi kuperfom.ndo napata mahasira na mie
He is among the best African musicians. Aliimba nchi ya ki2 kidogo if u remember. Pia Twende twende with Oliver Myukudzi
haa haaa furahi karibu sana hapa mtaani kwetu
haya tena round ya pili, nyambura,hope na daisy
Wapendwa... Nawasoma tu hapa!
Asanteni!!!
haa haaa furahi karibu sana hapa mtaani kwetu
ye ndo aliimba Nchi ya kitu kidogo......nampenda sana Erick