Heaven on Earth hunishindi mimi.. loh nimefurahi sanaaa
hii kitu umeifuatilia sana. utakua unanipa matokeo. nipe ratiba niwe nakusaidia kuangalia. na nikiangalia nahitaji kujua wamshabikia nani ili na mimi awe huyohuyo kama akitolewa tulie wote. mia
hivi bss ni saa ngapi?
tedo uko wapi........matangazo hayooooooooo
hivi bss ni saa ngapi?
halafu wewe....leo hamna match
Wameamua kutuwekea taarifa ya habari kabisa..
hawa wakenya watawabebabeba hawa majamaa lkn kuna wakati mbeleko itatoboka. Haiwezekani watu wanasaidiana kuimba kwanza sauti ni mbaya na harmonization yao haipo kali kivile.embu wawaambie waimbe mmoja mmoja muone vituko. Waonolewe kwanza wanaaribu budgeti ya msosi
ian hajafurahishwa na perfomance ya amos and josh. hanaga unafiki huyu bwana
leo hamna
nimefurahi hisia hajaangusha...ila haya majamaa mawili haya hayanitsha see
anatia moyo sana Little Angel........mie naamin atafika mbali tu