Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
- Thread starter
- #601
kojjo mzee wa kujishaua tuone atakavyoimba
There goes my baby.......
ka wimbo kagum haka......sauti inapandaa na kushukaaaaaaa
kojjo mzee wa kujishaua tuone atakavyoimba
Ikiisha tpf na yenyewe inaanza sijui na saa 3 au 3.30
hawa wakenya watawabebabeba
hawa majamaa lkn kuna wakati mbeleko itatoboka. Haiwezekani watu
wanasaidiana kuimba kwanza sauti ni mbaya na harmonization yao haipo
kali kivile.embu wawaambie waimbe mmoja mmoja muone vituko. Waonolewe
kwanza wanaaribu budgeti ya msosi
Ukiangalia TPF, BSS ni kinyaa..
Haya mzeee wa hisia kali kojo lkn sauti yake ipop weak
Vipaji vya ukweli Ruttashobolwa
hila nani alimchagulia mavaZi.huu wimbo unashuka na kurudi sa ye sauti yake unaona inavyokuwa inahitaji STRONG voice
nomaa sana.
Kichwa changu hcho......kila mtu atafute chaka