sasa tpf imeisha tutakutana wapi tena?
Pole sana dear
Hope ushwelewa kilichojiri hiyo jana
Nilipenda sana wenzetu wanajua kwenda na muda
nimeona best, hebu ngoja niwaite na marafiki wengine japo watusaidie kuvote ingawa sina uhakika kama huwa wanachek show,
baby yangu Kaizer wifi yangu KOKUTONA mwanangu Judgement jirani yangu Munkari dadangu zangu AshaDii na gfsonwin na wanajumuiya wenzangu kina Erickb52, Chocs sansharie kiwatengu Mokoyo christina ibrahim amu nawaombeni jamani mtusaidie kumvotia mshiriki pekee kutoka Tanzania aitwaye HISIA ili aweza kurudi na ushindi wa TUSKER PROJECT FAME
Ili kumpigia kura, chukua simu yako nenda kwenye uwanja wa sms andika neno TUSKER 15 kisha tuma kwenda no. 15324. au piga kura online ingia www.tusker.mobi fanya registration kisha upige kura for free.
natanguliza shukurani
Kweli kabisa,
Issues kama hizi zinasaidia watu kupata nafasi ya kuchangiana mawazo...
Sasa tukamzike mzee Madiba kwanza...
Babu DC!!
Wenzetu wapi vizuri. Yaani kila siku nawish tuwafikie japo robo tu.
nimeona best, hebu ngoja niwaite na marafiki wengine japo watusaidie kuvote ingawa sina uhakika kama huwa wanachek show,
baby yangu Kaizer wifi yangu KOKUTONA mwanangu Judgement jirani yangu Munkari dadangu zangu AshaDii na gfsonwin na wanajumuiya wenzangu kina Erickb52, Chocs sansharie kiwatengu Mokoyo christina ibrahim amu nawaombeni jamani mtusaidie kumvotia mshiriki pekee kutoka Tanzania aitwaye HISIA ili aweza kurudi na ushindi wa TUSKER PROJECT FAME
Ili kumpigia kura, chukua simu yako nenda kwenye uwanja wa sms andika neno TUSKER 15 kisha tuma kwenda no. 15324. au piga kura online ingia www.tusker.mobi fanya registration kisha upige kura for free.
natanguliza shukurani
Jamamiiiii i was out of mawasiliano wifi yangu, sorry sorry.
Tutafute kijiwe aisee
Wenzetu wapi vizuri. Yaani kila siku nawish tuwafikie japo robo tu.