Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,863
- 14,346
As usual ma dia nimevote
Hiki kipindi kinarushwa na station gani,siku gani/ zipi na saa ngapi kinaanza?? Naomba mnijuze
ubarikiweYes I did.. thank you kwa kutukumbusha
Mhe. Kaizer vita ya mapenzi huiwezi kabisa maana huyu Mzee mwenzio Asprin unayetaka kumtumia yeye ni mjomba wangu kwa babu mkubwa. Labda nikujulishe Krismasi hii nitakuwa na bibie DEMBA uchagani kwenda kusherehekea
Asante kwa tahadhari bestie Heaven on Earth, niko makini sana sana maana hawa wazee wanataka kumiliki kila kitu kuanzia siasa, uchumi, michezo mpaka mapenzi cc: :Kaizer na Asprin kwa taarifa. cc: DEMBA kudhihirisha kuwa nakupendammmmmmmmh wakikuhome shopping center mimi simo............
tindikali zinauzwa nje nje
Partick will be out..One contestant will be evicted this SATURDAY!!!!!!!!!!
Lets Hope that contestant is not Hisia