Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Amos And Josh walipewa promo sana..am glad hawakujipendelea....

wakenya hawana longo longo yaani kila mtu anaona kabisa competition ilikuwa fair huku kwetu mmmh, yule aliyeshinda bss sijui ni chaguo la nani.
 
Wametumia kigezo gani kumchagua mshindi coz kama ni kura hisia ndo alikuwa anaongoza
 
And miss H.O.E..thanx for the thread..xoxo

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Imekuwaje??

Kajukuu kangu kalitengemea Mganda atashinda...kanalia mpaka nakaonea huruma...

Babu DC!!
 
Wametumia kigezo gani kumchagua mshindi coz kama ni kura hisia ndo alikuwa anaongoza

Usifate zile kura za pale kwenye poll its different na zile za tusker mobi n sim.......ile ni kwa wale
wanaoingia kwenye ile web yao tu
 
wakenya hawana longo longo yaani kila mtu anaona kabisa competition ilikuwa fair huku kwetu mmmh, yule aliyeshinda bss sijui ni chaguo la nani.

Ingekuwa kama wanigeria hapo na BBA yao tungechakachuliwa kweli
 
wakenya hawana longo longo yaani kila mtu anaona kabisa competition ilikuwa fair huku kwetu mmmh, yule aliyeshinda bss sijui ni chaguo la nani.

hata majaji nadhani hawakuelewa walichokifanya maana yule aliteuliwa
 
Imekuwaje??

Kajukuu kangu kalitengemea Mganda atashinda...kanalia mpaka nakaonea huruma...

Babu DC!!

hahaha hako kajukuu kako kalie tu

mshindi ni HOPE kitu cha burundi.......halafu kilisha ni propose

jiandae kuhudhuria harusi yetu BABU DC
 
Hii kamati iliyokuwa hapa ijitahidi mwakani kutangaza kabla ya interview ya mwanzo ili watu wenye viwango wajitokeze

kutoka kila pande nchini. Lisiwe suala la kushtukiza tuu unakuta habari inaenea hapo bongo tuu na tunashangaa watu

tayari wameshaachaguliwa. tupeleke vipaji vya uhakika ili tusiwe tunashikilia roho mkononi kama haya mashindano

yalioisha sijui atatoka,mara sijui ataingia probation, mara sijui hajachangamka. Mimi nadhani promo ilkifanyika ya uhakika

tuna vipaji sawasawa
 
ila watz ni hovyo kabisa hadi season ya sita hatujawahi shinda duuh!!!! nchi zote washiriki wameshawahi kurudi na ushindi tumebaki sisi na sudan kusini. bora hata sudan wanashiriki kwa mara ya tatu sisi mara sita zote duuuh!!! Burundi bado wagen tpf ndio hao tena.
 
Back
Top Bottom