Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Ni kweli Hisia ni mzito sana lakini that is his personality....shy and easygoing....Anakuwa yeye sababu music anayoifanya ni ya kusikiliza zaidi....akija tutamwambia abadilishe baadhi ya vitu kidooogo ili atleast awe marketable kibongobongo....ila bora ya yeye kuliko msechu...anachangmka kisifasifa
 
hivi mnajua ni hisia na daisy tu ndio ambao hawajawahi ingia kwenye probation zaidi ya ile probation ya wote?
 
hivi mnajua ni hisia na daisy tu ndio ambao hawajawahi ingia kwenye probation zaidi ya ile probation ya wote?

Yessss.....Katika vitu nitavyovikumbuka ni kismati cha our HISIA...
 
hivi mnajua ni hisia na daisy tu ndio ambao hawajawahi ingia kwenye probation zaidi ya ile probation ya wote?

kweli aisee.......Hisia hajawahi kuingia probation......kuna ile siku tulidhani ataingia probation lakn hakuingia
 
Hata sijui tuhamie kwenye nini baada ya hii...sijui tamthilia...
 
Back
Top Bottom