Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,764
- Thread starter
- #2,801
Wamalize bana....
waatamaliza hawa hawanaga hadi vya saa 9;36 ndio iishe..wako short nd clear
Wamalize bana....
Ni kweli Hisia ni mzito sana lakini that is his personality....shy and easygoing....Anakuwa yeye sababu music anayoifanya ni ya kusikiliza zaidi....akija tutamwambia abadilishe baadhi ya vitu kidooogo ili atleast awe marketable kibongobongo....ila bora ya yeye kuliko msechu...anachangmka kisifasifa
daftari la mahudhurio una X ka DEMBA alivosema una punishment ya kukutosha tu
na Little Angel leo hayupo
Wamalize bana....
Hermy b nae ni boya.....anashindwa kumrekebisha kijana wake
mmh mbona mapema umesahau bss ilienda hadi tisa usiku.
hahahaaaaaaaa labda wakirudi home atamrekebisha
Nitaleta barua ya maelezo ofisin kwako,samahan sana Boss!!
mmh mbona mapema umesahau bss ilienda hadi tisa usiku.
Hata sijui tuhamie kwenye nini baada ya hii...sijui tamthilia...
Apology accepted haya karibu kiti cha mbele ukae na bosi wako karibu LOL
Umeme umerudi.......ndo hivyo hawezi kushinda.One contestant has to be the winner......
too bad that contestant is not him
Nahurumia wanamuziki wetu wakiTanzania....Sijui lini tutafanya MUSIC.....MAANA WENZETU NI ANOTHER LEVEL...TRUTH HURTS...
jamani hivi tangu hii TPF ianze ni mshiriki gani ulikuwa unamuadmire sana
tamthiliya gani? yaani nitaimiss hii kampan sana