Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

hawezi kushinda........but atleast he has made it all the way
dah! Yaani hizi show za weekend ndani ya muda wa misele kwangu ni full majanga to the point huwa nashindwa kufuatilia. I saw the guy cku moja, and in fact, alini-impress ile mbaya! so, wewe ambae unafuatilia, WHY do you think hawezi kushinda? With due respect, I hope jibu lako haliwezi kuwa au halitakaribiana na lile litakalobeba dhana ya kwamba "Watanzania huwa tunahujumiwa!"
 
ipo..hapo kuna walopenda...halafu,hiyo styl ndo imemfikisha alipo..me i lov it
Hata kama
unabembeleza.....connection yake na audience ipo vp???hlo linamshinda
ndugu yetu....viuno ndo ameweza
 
Mmh jamani Hope ni noumer aisee..napenda na viuno vyake pia...

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
dah! Yaani hizi show za weekend ndani ya muda wa misele kwangu ni full majanga to the point huwa nashindwa kufuatilia. I saw the guy cku moja, and in fact, alini-impress ile mbaya! so, wewe ambae unafuatilia, WHY do you think hawezi kushinda? With due respect, I hope jibu lako haliwezi kuwa au halitakaribiana na lile litakalobeba dhana ya kwamba "Watanzania huwa tunahujumiwa!"

Pole banaa mie ni mfatiliaji mwanzo mwisho.......the thing is anaimba vizuri sana he has a voice fulani
na ni mtu anaependeza kuimba nyimbo za taratibu.sa hivi wamebaki wa4 tu na wote ni vichwa hasa hao
wawili from Burundi and Kenya thts why naona possibility ya kushinda haipo.......halafu efforts zake nahisi
pia kuna mdaa naona hayuko serios saanaaaaaaaaa
 
atoto uko wapi? au tanesco wameshakuja huko?
 
Last edited by a moderator:
yaan kuna wakati naona kama anahujumiwa daaah...............

hahahhahaaa hamna cha kuhujumiwa.........na yeye pia inabidi kuwa creative sa labda ye

director akisema tufanye hivi ye anakubali tu...inabidi na wewe uwe creative na critical
 
Haya ma double cabin nayo naona yanaimba madebe tuu hamna kitu
 
Back
Top Bottom