Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

Live Updates Tusker Project Fame Season 6...

nakupa tips kidogo zitasaidia
jua tu kukata viuno,kurukaruka na kusema "piga keleleeeee"...tafta wahkaji kumi wenye simu wape hamasa ya kupiga kura...ofcossssssssssssssssnna sie tutakuunga mkono hela ziende kwa mwana jf...ila viuno,kurukaruka na kelele zingatia sana
duuuh mwakani nami nakwenda maana washanitibua, bss co lzm ujue kuimba ndio ushinde
 
maybe lije shindano jingine kama hili,liwe na sponsors wa kueleweka...ma judge serious na promo ya kutosha lilete competition
no ucngizi alafu na maudhi!!! duh rest in peace ebss
 
nakupa tips kidogo zitasaidia
jua tu kukata viuno,kurukaruka na kusema "piga keleleeeee"...tafta wahkaji kumi wenye simu wape hamasa ya kupiga kura...ofcossssssssssssssssnna sie tutakuunga mkono hela ziende kwa mwana jf...ila viuno,kurukaruka na kelele zingatia sana

naanza kuingia gym na mazoezi ya viuno kwa sn, kuimba co muhimu hilo la kusema piga kelele halitonishinda, pesa lazima zirud nyumbani, kuruka ruka naweza sn
 
hapo hesabu kura zangu kila siku mwanzo wa shindano mpaka mwisho...haijalishi washndani watakuaje,we rukaruka tu na tupe mauno
naanza kuingia gym na mazoezi
ya viuno kwa sn, kuimba co muhimu hilo la kusema piga kelele
halitonishinda, pesa lazima zirud nyumbani, kuruka ruka naweza
sn
 
hapo hesabu kura zangu kila siku mwanzo wa shindano mpaka mwisho...haijalishi washndani watakuaje,we rukaruka tu na tupe mauno

na wababa mnavyoyapenda nitawakoshajeeee, kura mtapiga tu mtake mctake
 
jamani, asubuhi njema muda wa kuboresha ndoa sasa
 
mwallu nimelala ama nilijiegesha? Sa 9 uamke sa 11 utasema umelala kweli
 
Last edited by a moderator:
angalau hata niondoe majonzi ya kukesha jana
 
Back
Top Bottom