S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,227 Reaction score 1,104 Mar 2, 2014 #81 Makoye Matale said: Si majungu mkuu. Simba wamezidi kung'oa viti pale Taifa. Click to expand... Wamezoea kukaa na kulala kwenye nyasi za Mikumi mbugani.
Makoye Matale said: Si majungu mkuu. Simba wamezidi kung'oa viti pale Taifa. Click to expand... Wamezoea kukaa na kulala kwenye nyasi za Mikumi mbugani.
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,945 Reaction score 4,499 Mar 2, 2014 #82 Kona imezaa goli
Phlagiey JF-Expert Member Joined Oct 26, 2013 Posts 3,499 Reaction score 1,687 Mar 2, 2014 #83 Simba vipi tena ruvu 1 mnyama 2
Phlagiey JF-Expert Member Joined Oct 26, 2013 Posts 3,499 Reaction score 1,687 Mar 2, 2014 #84 Jamaani huu mpira vipi tena simba 3
Grader JF-Expert Member Joined Feb 23, 2009 Posts 445 Reaction score 65 Mar 2, 2014 #85 Ruvu wanapata bao baada ya uzembe wa beki kuokoa kona
Cynic JF-Expert Member Joined Jan 5, 2009 Posts 5,144 Reaction score 1,655 Mar 2, 2014 #86 Makoye Matale said: Labda mdundiko, mnamdundia nani maana katika mbio za ubingwa, Simba si moja ya timu zinzowania ubingwa huo. Click to expand... tunadunda angalau mechi ya leo .. ubingwa kwetu maji marefu mwaka huu
Makoye Matale said: Labda mdundiko, mnamdundia nani maana katika mbio za ubingwa, Simba si moja ya timu zinzowania ubingwa huo. Click to expand... tunadunda angalau mechi ya leo .. ubingwa kwetu maji marefu mwaka huu
Grader JF-Expert Member Joined Feb 23, 2009 Posts 445 Reaction score 65 Mar 2, 2014 #87 Humudi anaingia anatoka tambwe
A ACCOUNT FULL JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 1,995 Reaction score 389 Mar 2, 2014 Thread starter #88 tambwe out, humud in. Simba 3 Ruvu 1.
N ndomyana JF-Expert Member Joined Jan 24, 2012 Posts 5,724 Reaction score 2,262 Mar 2, 2014 #89 Mnyamaa anaelekea kufa sasa wamepata goli ruvu
chitambikwa JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 3,941 Reaction score 903 Mar 2, 2014 #90 Nani kafunga la tatu
Grader JF-Expert Member Joined Feb 23, 2009 Posts 445 Reaction score 65 Mar 2, 2014 #91 Edward chrispher anataka kuingizwa
Cynic JF-Expert Member Joined Jan 5, 2009 Posts 5,144 Reaction score 1,655 Mar 2, 2014 #92 Final - Kutoka Wembley dk 44 Man City 0 - Sunderland 1
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Mar 2, 2014 #93 Cynic said: tunadunda angalau mechi ya leo .. ubingwa kwetu maji marefu mwaka huu Click to expand... Pole sana Mkuu. Ruvu wanapata penati.
Cynic said: tunadunda angalau mechi ya leo .. ubingwa kwetu maji marefu mwaka huu Click to expand... Pole sana Mkuu. Ruvu wanapata penati.
A ACCOUNT FULL JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 1,995 Reaction score 389 Mar 2, 2014 Thread starter #94 DK 83, Penalt wanapata ruvu...
Cynic JF-Expert Member Joined Jan 5, 2009 Posts 5,144 Reaction score 1,655 Mar 2, 2014 #95 Makoye Matale said: Pole sana Mkuu. Ruvu wanapata penati. Click to expand... Mwaka wa shetani ..
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Mar 2, 2014 #96 Dak. 83 Simba 3-2 Ruvu Shooting.
A ACCOUNT FULL JF-Expert Member Joined Sep 24, 2012 Posts 1,995 Reaction score 389 Mar 2, 2014 Thread starter #97 gooooool...Ruvu 2, Simba 3!
Grader JF-Expert Member Joined Feb 23, 2009 Posts 445 Reaction score 65 Mar 2, 2014 #98 Ruvu wamepata goli kwa njia ya penat
S SomBomBo JF-Expert Member Joined May 22, 2013 Posts 238 Reaction score 41 Mar 2, 2014 #99 Duu!! Mnyama atatoka kweli leo
Phlagiey JF-Expert Member Joined Oct 26, 2013 Posts 3,499 Reaction score 1,687 Mar 2, 2014 #100 Ila simba kweli mmefulia dah...!