Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara NBC Premier League kupigwa leo Mei 8, 2022 ambapo Mnyama Mkali Mwituni Simba SC anamkaribisha Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Takwimu na kila kizuri kinaegemea zaidi upande wa Simba SC kwenye mchezo huu lakini kiuhalisia chochote kinaweza kutokea This is Football.
Ni Vita vya Kocha Pablo Franco kwa System ya 4-2-3-1 na Charles Mkwasa dhidi ya System ya 4-3-3 ni Vita vya kwanza kwenye Flanks kisha kulishinda eneo la Kiungo, unategemea kuwaona Simba SC wakitawala eneo la Kiungo, unategemea kuwaona Ruvu Shooting wakisubiri matendo ya pili (Turn Over)
Ruvu Shooting amezuia vizuri kwenye mechi zao tano za mwisho wamepata cleansheet mbili na mechi nyingine mbili kati ya hizo hawajaruhusu zaidi ya goli moja, ni mchezo mmoja tu waliruhusu goli moja, ambapo ni takwimu nzuri kwa daraja ambalo Ruvu Shooting walipo.
Ni mechi ambayo Simba SC anaitaka ili kurejesha Confidence kwani hawajapata ushindi katika mechi tatu za mwisho kwenye Ligi zote ametoa sare, tutegemee kuwaona Simba muda mwingi wakiingia katika zone ya Ruvu Shooting ili kuifungua safu yao ya ulinzi.
Je ni kipi Ruvu Shooting watakifanya dhidi ya Quality ya mpinzani na kucheza dhidi ya presha ya Simba kwa dakika zote tishini, umakini katika kuzuia, ni ngumu kucheza bila ya kufanya kosa hata moja, ni suala la muda kutupa majibu sahihi ndani ya dakika 90.
Kocha msaidizi wa Simba SC Suleiman Matola, amesema kiufundi mechi haitakuwa rahisi, mechi itakuwa ngumu, lakini wamejiandaa kuhakikisha wanapata matokeo ya ushindi.
Naye Kocha msaidizi wa Ruvu Shooting Rajabu Mohamed, amesema kuwa Mechi itakuwa ngumu dhidi ya Timu Kubwa, Kongwe, lakini wamejipanga kujaribu kushinda mchezo huo.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1:00 Usiku.. Usikose Ukaambiwa
Kulipewa Mwana..Kulitaka Mwana
..... Ghazwat....
Naaam mpira umeanza uwanja wa Mkapa
Ni Vita vya dakika 90 za jasho na damu
Simba SC 0-0 Ruvu Shooting
02' Simba wanapata Free Kick, inapigwa kulee lakini golikipa Makaka anasafiri na kupangua mpira ule na kuwa Kona ambayo haikuzaa bao.
07' Ruvu wapo nyuma mapema tu, Nadhani wanasoma mchezo kuona gani watapenya ngome ya Simba
12' Jaribio kwa Simba kupitia kwa Sakho na Kagere linashindwa kuzaa bao, huku Chanongo akijibu mapigo upande wa Ruvu Shooting
15' Abrahaman Mussa yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kupata rabsha
20' Pamoja kumiliki mpira eneo la kati lakini, bado mambo ni magumu upande wa Simba
23' Mkude yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kuumia, huku Abdulswamadu akionyeshwa KADI ya Njano kwa mchezo mbaya.
24' Kona kuelekea Ruvu, inapigwa kulee Wooooooo, Wawa anapiga shutii lakini linatoka nje ya lango
Ametoka Mkude na nafasi yake anaingia Bwalya upande wa Simba SC | Simba SC 0-0 Ruvu Shooting
30' Henock anamvisha kanzu maridadi mchezaji wa Ruvu, huku Gadiel akikosa nafasi ya kutengeneza bao.
Oyaaa, Peter Banda anashindwa kuweka mpira kambani baada ya jitihada zake kuzimwa na golikipa Makaka
35' Ruvu wanakosa nafasi nzuri ya kupiga shuti lango la Simba, Wawa na Henock wapo nyuma kwa ulinzi mkali.
39' Almanusura Simba SC wapate bao, Shuti kali la Kagere linambabatiza beki wa Ruvu
40' Kibu Goooooooooooooaaal gooal
Kibu Denis anaipatia Simba SC bao kwa kwanza baada ya kutokea piga nikupige lango la Ruvu Shooting
Simba SC 1-0 Ruvu Shooting
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko
Kwake Banda, anapiga Krosi kwake Sakhooo, anakosaaaaaa
Haya kwao Ruvu wanakwenda mbele kuleee, lakini wanakosa vile vile, wanao Simba sasa kuleee Bandaaa looo, Mobby anafanya Kazi nzuri kuokoa hatari ile..!
Naaam mpira ni mapumziko ambapo Simba SC wapo mbele ya bao moja kwa bila dhidi ya Ruvu.
HT: Simba SC 1-0 Ruvu Shooting
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa na hakuna mabadiliko kwa pande zote mbili.
Ruvu wanapata Free Kick, Abrahaman Mussa anapiga lakini anababatiza ukuta wa Simba SC.. mpira unaokolewa
49' Jaffar anafanya Kazi nzuri kuokoa hatari lango lake, baada ya mpira wa Kibu anashindwa kutuliza eneo hilo.
52' Mobby na Kibu wapo chini baada ya kugongana wakiwania mpira Krosi uliopigwa na Gadiel
56' Bwalya aliiweka kwenye Presha lango la Ruvu baada ya shuti kali kutoka mida chache ya lango na kuwa Kona ambayo haikuzaa bao
58' Almanusura Ruvu wapate bao kama si uimara wa golikipa Manula kudaka mpira ule
60' Kagereeee goooooo laaaaaa ni Offside, kibendera kipo juuu kuashiria kuwa mfungaji alikuwa ameotea
Buswita anapiga Tikitaka na mpira unatoka nje, alipata pasi safi kutoka kwa Chilambo
67' Bwalya Goooooooooooooaaal gooal
Rally Bwalya anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi murua kutoka kwa Sakho
Simba SC 2-0 Ruvu Shooting
Ameingia Bocco akichukua nafasi ya Kagere upande wa Simba SC
Ruvu wamepoa kipindi hiki cha pili, Simba wanaliandama lango lao, Almanusura Bocco aifungie Simba SC bao.
74' Ally Kombo anaonyeshwa KADI ya Njano kwa kumchezea madhambi Gadiel
Mabadiliko ametoka Abrahaman Mussa ameingia Said na Ametoka Buswita na ameingia Joseph upande wa Ruvu
79' Mhilu ameingia kuchukua nafasi ya Banda, huku Mwenda akichukua nafasi ya Kapombe pia Mzamiru ametoka na ameingia Kennedy upande wa Simba SC
Bocco Goooooooooooooaaal gooal
John Bocco anaipatia Simba SC bao la tatu akipokea pasi murua kutoka kwa Mhilu
Goooooooooooooaaal gooal
Haruna Chanongo anaipatia Ruvu Shooting bao la kwanza kwa shuti kali
Simba SC 3-1 Ruvu Shooting
Sasa funga nikufunge mpira ni mkali sasa na upo eneo la Ruvu Shooting
Free Kick kuelekea Ruvu Shooting..Inapigwa kulee Goooooooooooooaaal gooal
Henock anaipatia Simba SC bao la nne kwa kichwa | SIMBA SC 4-1 RUVU
Mpira ni mkali Simba wanataka kuongeza bao huku Ruvu wakiwa wanataka kusawazisha, lakini Umiliki wa Simba
Kwake Bocco inapigwa kulee Mhilu anarukaaaa njeee, mpira wa kichwa unatoka nje ya lango, ilikuwa hatari sana..!
99+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo Uwanja wa Benjamin Mkapa
Naaam mpira umekwishaaaaaa ambapo Simba SC wanaibuka na ushindi mnono wa mabao manne moja dhidi ya Ruvu Shooting
FT: Simba SC 4-1 Ruvu Shooting
........ Ghazwat....
Takwimu na kila kizuri kinaegemea zaidi upande wa Simba SC kwenye mchezo huu lakini kiuhalisia chochote kinaweza kutokea This is Football.
Ni Vita vya Kocha Pablo Franco kwa System ya 4-2-3-1 na Charles Mkwasa dhidi ya System ya 4-3-3 ni Vita vya kwanza kwenye Flanks kisha kulishinda eneo la Kiungo, unategemea kuwaona Simba SC wakitawala eneo la Kiungo, unategemea kuwaona Ruvu Shooting wakisubiri matendo ya pili (Turn Over)
Ruvu Shooting amezuia vizuri kwenye mechi zao tano za mwisho wamepata cleansheet mbili na mechi nyingine mbili kati ya hizo hawajaruhusu zaidi ya goli moja, ni mchezo mmoja tu waliruhusu goli moja, ambapo ni takwimu nzuri kwa daraja ambalo Ruvu Shooting walipo.
Ni mechi ambayo Simba SC anaitaka ili kurejesha Confidence kwani hawajapata ushindi katika mechi tatu za mwisho kwenye Ligi zote ametoa sare, tutegemee kuwaona Simba muda mwingi wakiingia katika zone ya Ruvu Shooting ili kuifungua safu yao ya ulinzi.
Je ni kipi Ruvu Shooting watakifanya dhidi ya Quality ya mpinzani na kucheza dhidi ya presha ya Simba kwa dakika zote tishini, umakini katika kuzuia, ni ngumu kucheza bila ya kufanya kosa hata moja, ni suala la muda kutupa majibu sahihi ndani ya dakika 90.
Kocha msaidizi wa Simba SC Suleiman Matola, amesema kiufundi mechi haitakuwa rahisi, mechi itakuwa ngumu, lakini wamejiandaa kuhakikisha wanapata matokeo ya ushindi.
Naye Kocha msaidizi wa Ruvu Shooting Rajabu Mohamed, amesema kuwa Mechi itakuwa ngumu dhidi ya Timu Kubwa, Kongwe, lakini wamejipanga kujaribu kushinda mchezo huo.
Kumbuka mchezo ni kuanzia saa 1:00 Usiku.. Usikose Ukaambiwa
Kulipewa Mwana..Kulitaka Mwana
..... Ghazwat....
Naaam mpira umeanza uwanja wa Mkapa
Ni Vita vya dakika 90 za jasho na damu
Simba SC 0-0 Ruvu Shooting
02' Simba wanapata Free Kick, inapigwa kulee lakini golikipa Makaka anasafiri na kupangua mpira ule na kuwa Kona ambayo haikuzaa bao.
07' Ruvu wapo nyuma mapema tu, Nadhani wanasoma mchezo kuona gani watapenya ngome ya Simba
12' Jaribio kwa Simba kupitia kwa Sakho na Kagere linashindwa kuzaa bao, huku Chanongo akijibu mapigo upande wa Ruvu Shooting
15' Abrahaman Mussa yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kupata rabsha
20' Pamoja kumiliki mpira eneo la kati lakini, bado mambo ni magumu upande wa Simba
23' Mkude yupo chini akipatiwa matibabu baada ya kuumia, huku Abdulswamadu akionyeshwa KADI ya Njano kwa mchezo mbaya.
24' Kona kuelekea Ruvu, inapigwa kulee Wooooooo, Wawa anapiga shutii lakini linatoka nje ya lango
Ametoka Mkude na nafasi yake anaingia Bwalya upande wa Simba SC | Simba SC 0-0 Ruvu Shooting
30' Henock anamvisha kanzu maridadi mchezaji wa Ruvu, huku Gadiel akikosa nafasi ya kutengeneza bao.
Oyaaa, Peter Banda anashindwa kuweka mpira kambani baada ya jitihada zake kuzimwa na golikipa Makaka
35' Ruvu wanakosa nafasi nzuri ya kupiga shuti lango la Simba, Wawa na Henock wapo nyuma kwa ulinzi mkali.
39' Almanusura Simba SC wapate bao, Shuti kali la Kagere linambabatiza beki wa Ruvu
40' Kibu Goooooooooooooaaal gooal
Kibu Denis anaipatia Simba SC bao kwa kwanza baada ya kutokea piga nikupige lango la Ruvu Shooting
Simba SC 1-0 Ruvu Shooting
45+2' Kuelekea kuwa mapumziko
Kwake Banda, anapiga Krosi kwake Sakhooo, anakosaaaaaa
Haya kwao Ruvu wanakwenda mbele kuleee, lakini wanakosa vile vile, wanao Simba sasa kuleee Bandaaa looo, Mobby anafanya Kazi nzuri kuokoa hatari ile..!
Naaam mpira ni mapumziko ambapo Simba SC wapo mbele ya bao moja kwa bila dhidi ya Ruvu.
HT: Simba SC 1-0 Ruvu Shooting
Kipindi cha pili kimeanza uwanja wa Mkapa na hakuna mabadiliko kwa pande zote mbili.
Ruvu wanapata Free Kick, Abrahaman Mussa anapiga lakini anababatiza ukuta wa Simba SC.. mpira unaokolewa
49' Jaffar anafanya Kazi nzuri kuokoa hatari lango lake, baada ya mpira wa Kibu anashindwa kutuliza eneo hilo.
52' Mobby na Kibu wapo chini baada ya kugongana wakiwania mpira Krosi uliopigwa na Gadiel
56' Bwalya aliiweka kwenye Presha lango la Ruvu baada ya shuti kali kutoka mida chache ya lango na kuwa Kona ambayo haikuzaa bao
58' Almanusura Ruvu wapate bao kama si uimara wa golikipa Manula kudaka mpira ule
60' Kagereeee goooooo laaaaaa ni Offside, kibendera kipo juuu kuashiria kuwa mfungaji alikuwa ameotea
Buswita anapiga Tikitaka na mpira unatoka nje, alipata pasi safi kutoka kwa Chilambo
67' Bwalya Goooooooooooooaaal gooal
Rally Bwalya anaipatia Simba SC bao la pili akipokea pasi murua kutoka kwa Sakho
Simba SC 2-0 Ruvu Shooting
Ameingia Bocco akichukua nafasi ya Kagere upande wa Simba SC
Ruvu wamepoa kipindi hiki cha pili, Simba wanaliandama lango lao, Almanusura Bocco aifungie Simba SC bao.
74' Ally Kombo anaonyeshwa KADI ya Njano kwa kumchezea madhambi Gadiel
Mabadiliko ametoka Abrahaman Mussa ameingia Said na Ametoka Buswita na ameingia Joseph upande wa Ruvu
79' Mhilu ameingia kuchukua nafasi ya Banda, huku Mwenda akichukua nafasi ya Kapombe pia Mzamiru ametoka na ameingia Kennedy upande wa Simba SC
Bocco Goooooooooooooaaal gooal
John Bocco anaipatia Simba SC bao la tatu akipokea pasi murua kutoka kwa Mhilu
Goooooooooooooaaal gooal
Haruna Chanongo anaipatia Ruvu Shooting bao la kwanza kwa shuti kali
Simba SC 3-1 Ruvu Shooting
Sasa funga nikufunge mpira ni mkali sasa na upo eneo la Ruvu Shooting
Free Kick kuelekea Ruvu Shooting..Inapigwa kulee Goooooooooooooaaal gooal
Henock anaipatia Simba SC bao la nne kwa kichwa | SIMBA SC 4-1 RUVU
Mpira ni mkali Simba wanataka kuongeza bao huku Ruvu wakiwa wanataka kusawazisha, lakini Umiliki wa Simba
Kwake Bocco inapigwa kulee Mhilu anarukaaaa njeee, mpira wa kichwa unatoka nje ya lango, ilikuwa hatari sana..!
99+3' Kuelekea kumalizika kwa mchezo Uwanja wa Benjamin Mkapa
Naaam mpira umekwishaaaaaa ambapo Simba SC wanaibuka na ushindi mnono wa mabao manne moja dhidi ya Ruvu Shooting
FT: Simba SC 4-1 Ruvu Shooting
........ Ghazwat....