live updates.SIMBA VS RUVU SHOOTING

live updates.SIMBA VS RUVU SHOOTING

...Wadau asanteni sana kwa UpDates!
'hakika tume-Enjoy ambao hatukuweza kufika uwanjani...'bigUp!
 
Kwa matokeo haya kiwango cha Simba kiko chini sana. Imefungwa na JKT Ruvu iliyofungwa 6-0 na timu dhaifu ya Prison. Aidha Simba imeshinda kwa taabu bao 3-2 timu iliyocharazwa na mtani wake 7-0, something must be done to save SSC.
 
Huyu Rage bora aachie ngazi tu, maana hakuna cha maana anachofanya, kuendelea kukaa kwake madarakani ni kuendelea kuigawa timu.
 
Kwa matokeo haya kiwango cha Simba kiko chini sana. Imefungwa na JKT Ruvu iliyofungwa 6-0 na timu dhaifu ya Prison. Aidha Simba imeshinda kwa taabu bao 3-2 timu iliyocharazwa na mtani wake 7-0, something must be done to save SSC.

.KUNA mambo mengi yanachangia kudidimiza maendeleo ya michezo nchini. Moja ya mambo hayo ni uwapo wa migogoro iliyokosa suluhisho kwenye klabu na vyama vya michezo.

Ni dhahiri migogoro katika vyama vya michezo na klabu ndiyo iliyochangia kwa kiasi kikubwa Tanzania kufika ilipo sasa katika sekta ya michezo.

Hakuna ubishi kwamba, heshima ya ramani ya Tanzania katika michezo ya kimataifa, imepotea kutoka kwenye mstari. Tumebaki kulumbana na kulaumiana kwa makosa yetu wenyewe.

Wakati wenzetu wanazidi kupiga hatua za mafanikio katika michezo, sisi bado tumelala usingizi wa fofofo, hatuna la kujifunza zaidi ya kushabikia migogoro.

Viongozi na wanachama wa klabu za soka nchini, hasa hizi kongwe, ni dhahiri wameamua kuwekeza kwenye migogoro badala ya maendeleo.
 
Ndio kwanza yupo Dodoma huko anahangaika na Katiba Mpya...

Hivi makamu mwenyekiti wa Simba ni nani?

Huyu Rage bora aachie ngazi tu, maana hakuna cha maana anachofanya, kuendelea kukaa kwake madarakani ni kuendelea kuigawa timu.
 
Huyu Rage bora aachie ngazi tu, maana hakuna cha maana anachofanya, kuendelea kukaa kwake madarakani ni kuendelea kuigawa timu.

...mkuu umenena' mimi sielewi kwa nini Simba wanashinda kupata suluhu ya hili tatizo...!


"kwa wanaopenda maendeleo ya michezo nchini hawawezi kukubali kushuhudia kile kinachoendelea ndani ya klabu ya Simba kwa sasa.

Iinaonyesha kuwa, siyo wanachana wala viongozi wenye dhamira ya dhati kabisa katika kuleta maendeleo, na badala yake utamaduni wa kukumbatia migogoro ndiyo sera ya msingi kwa baadhi ya viongozi na wanachama."
 
Yanga Na Azam Fanyeni Vyovyote Mnavyojua Lakini Mtuachie Nafasi Moja Hapo Juu
 
Yanga Na Azam Fanyeni Vyovyote Mnavyojua Lakini Mtuachie Nafasi Moja Hapo

Mkuu vipi? Mnyama mwakani ni mechi za "mchangani", na professionals wazuri wote tunakomba! Hawawezi kucheza mechi za "mchangani" miaka miwili. Itabidi mnyama abadili fani! Achana na mpira, endeleza kilimo. Si tayari mna shamba Bunju?
 
.KUNA mambo mengi yanachangia kudidimiza maendeleo ya michezo nchini. Moja ya mambo hayo ni uwapo wa migogoro iliyokosa suluhisho kwenye klabu na vyama vya michezo.

Ni dhahiri migogoro katika vyama vya michezo na klabu ndiyo iliyochangia kwa kiasi kikubwa Tanzania kufika ilipo sasa katika sekta ya michezo.

Hakuna ubishi kwamba, heshima ya ramani ya Tanzania katika michezo ya kimataifa, imepotea kutoka kwenye mstari. Tumebaki kulumbana na kulaumiana kwa makosa yetu wenyewe.

Wakati wenzetu wanazidi kupiga hatua za mafanikio katika michezo, sisi bado tumelala usingizi wa fofofo, hatuna la kujifunza zaidi ya kushabikia migogoro.

Viongozi na wanachama wa klabu za soka nchini, hasa hizi kongwe, ni dhahiri wameamua kuwekeza kwenye migogoro badala ya maendeleo.

Mbaya zaidi timu nzuri kama Yanga zinapocheza kimataifa hawa Simba wanaingia kuizomea ifungwe ili ifanane nao, ikishinda wanang'oa viti, what kind of stupidity is this?
 
mashabiki simba tui support azam kuchukua ubingwa, sisi tumeshashindwa! ikiwezekana simba tufungwe na azam ili kuwapa nafasi dhidi ya yanga
 
mashabiki simba tui support azam kuchukua ubingwa, sisi tumeshashindwa! ikiwezekana simba tufungwe na azam ili kuwapa nafasi dhidi ya yanga

Haitasaidia! Tutaanza na kuwachapa Azam tunamalizia kumchinja mnyama. Hizo fitina ndio siri ya kuboronga kwenu. Rage ni nuksi, mtu wa fitna!
 
mashabiki simba tui support azam kuchukua ubingwa, sisi tumeshashindwa! ikiwezekana simba tufungwe na azam ili kuwapa nafasi dhidi ya yanga

Kwani mnaanza leo hizi kampeni? Mmekuwa mkifanya hivi miaka mingi sasa lakini Young Africans SC imekuwa ikiwanyamazisha ninyi nyote, jipangeni tena: Simba atachukua na Azam atachukua zake pia hii inaitwa kupiga mbwa na mwenye mbwa pia.
 
Mbaya zaidi timu nzuri kama Yanga zinapocheza kimataifa hawa Simba wanaingia kuizomea ifungwe ili ifanane nao, ikishinda wanang'oa viti, what kind of stupidity is this?
Suala la washabiki wa Simba kushangilia timu ngeni hawajaanza wao, wanachofanya sahivi ni kulipiza kisasi tu lakini suala hili kwa hivi karibuni limeanzishwa na washabiki wa Yanga waliponunua jezi za TP Mazembe na kuishangilia sana, wale wa Simba nao wakaja kulipiza kwa Zamalek baada ya hapo imekuwa ni mwendelezo.

Na washabiki wa Yanga wengi wao ndo wa ovyo kabisa maana hata timu ya Taifa ikiwa na wachezaji wengi toka Simba wao wataizomea si kwa sababu ni ya hovyo bali sababu yake ni kwamba klabu yao haijatoa wachezaji katika timu ya Taifa.
 
mashabiki simba tui support azam kuchukua ubingwa, sisi tumeshashindwa! ikiwezekana simba tufungwe na azam ili kuwapa nafasi dhidi ya yanga

Azam hawajazoea nafasi ya kwanza hata muwasaidie vipi haitasaidia kitu, wao ni division two tu basi.
 
Back
Top Bottom