Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,490
- 2,104
Mkuu wangu huwa nakuaminia sana lakini kwa post yako hii mbona unataka kuniangusha, kwani Simba wanafanya mazoezi kwenye bomba la mvua. Au unamanisha zile imani zetu za wazee wetu?
Ni mtani wako.