chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 903
Tambwe ni mchezaji anayejitambua
HT Simba 2-0 Ruvu Shooting.
Yupo katika nchi ya amani, kwa ajili ya kufunga tu, kwa nn asijitume awezavyo aendelee kubaki tz.Tambwe ni mchezaji anayejitambua
Sio Kifaru. Masau Bwire. Jana alisema wamechoka kuitwa wazee wa wiki! "Kila tunakopita mitaani watu wanatuita wazee wa wiki!"
Kwa kuwa leo mvua inanyesha basi Simba aka wazee wa Boko au wazee wa kufyeka vichaka watashinda...
Tambwe ni mchezaji anayejitambua
hao wawili kwa kusogoa kama mbwiga, wamebarikiwa.Asante Mkuu ni Masao Bwire, hizi figure mbili japo sizifahamu kwa sura, midomo yake inafanana sana, halafu zote sizipendi na ndicho chanzo cha kuzichanganya.
Asante Mkuu ni Masao Bwire, hizi figure mbili japo sizifahamu kwa sura, midomo yake inafanana sana, halafu zote sizipendi na ndicho chanzo cha kuzichanganya.
Mwendo mdundo...
Karibu sana, nawe asante kwa huo ujasiri.
Jaman huku taifa VIP wanalowa na mvua
Like.Hivi!msemaji wa waarabu alisemaje jana?
hahahahahah,,,,,,,,,eti wafyeka vichaka....!
utasikia msimu ujao yanga wanaleta mizengwe wamsajili.