Live Updates: Simba SC vs Azam FC, 03/05/2015

Live Updates: Simba SC vs Azam FC, 03/05/2015

we jamaa utakuwa ndo wale division 5 kabisa yaan hata hoja zako naziona ni zile za wanayanga wanaokaa pale kumpraise manji. tambwe amekuja yanga baada kuachwa simba si kwamba alitolewa yanga. umesahau kanjubai alinyang'anywa OKWI na aveva akasema anaenda kushtak fifa mpaka leo hajarudi tena

Wewe ni chizi kiasi ambacho hujitambui.

Sasa baada ya kuchukua huyo Okwi amewapa Kombe la Ligi Kuu...?
 
huyu okwi aliyekuja kuwagonga kimoja mechi ya mwisho?kuchukua kombe la vpl wala si issue hata kidogo unakumbuka mara ya mwisho mmepigwa 5 kwa yai simba ikichukua ubingwa bila kupoteza hata mechi moja?

Unaonekana umekuja JF kutafuta umaarufu.....

Hivi unasema ulivyomfunga Yanga Fc goli 5 msimu huo simba ndio ilichukua ubingwa...........?

Hahahaha!

Unadhihirishisha Umbumbumbu wako.
 
waulize wanaojua mpira wa ndani ya yanga wewe mshabiki tu hujui lolote .onesha mafanikio aliyoleta manji na si kuzungumzia kombe la vpl la mill 77

Dah! We ndio huna akili kabisa..

Hivi unajua thamani ya Ubingwa wa English Premier league uzidishwe mara 34 ndio unakuwa sawa na thamani ya Club kama ya Manchester United........?

Kwa taarifa yako,thamani ya ubingwa hauwezi Pima kwa fedha. UBINGWA ni heshima, na hizo fedha na sawa na MAPONGEZO tu..

natamani nione sura yako ili japo nipate kulinganisha ushamba wako.
 
wakati wenzako wanagonga mechi moja tu wanaondoka na kombe la mil 98 mechi moja tu ya NANI mtani jembe inatosha kukuzima wewe na kufukuza kocha.

-Hahahaha! Hebu wafuate mashabiki wenzako wakwambie nini maana ya hio Million 98.

-Unajisifia kwamba mnafedha wakati juzi tu... Rais wenu ametoka kutangaza kwamba Club ya Simba sc imefilisika........!
(Etii anangoja mechi ya mtani jembe ndio apate fedha)

-Chanongo anawadai takribani milion 8.6

-Tambwe anawadai Million 11.5

-Danny Sserenkuma mpaka sasa analala Guest House... Hamna fedha za kumpangia nyumba.

Cha kushangaza mnategemea kucheza na Yanga Fc tu ili club yenu iingize pesa.
 
VPL si issue kubwa....

Makocha wanaajiliwa kwa ajili ya Premier league tittle.. na si vinginevyo......!

Nenda kokote pale Duniani Kombe la Ligi ndio cha msingi.

Mbona mmefukuza makocha watano 5 ndani ya miaka 5...?

Au mliwaajili kwa lengo la kuchukua kombe la Klabu Bingwa barani Africa...?

Au mliwaajili kwa lengo la kuchukua Makombe ya MCHANGANI...?
 
Jukwaa la michezo limevamiwa na wapori pori! Hawa wanaochangia na kujiita mashabiki wa Yanga sio wale tuliozoea kukutana nao humu. Ndio maana wanaona mafanikio ya timu ni kupanda ndege bila kujali ni hatua gani imefikiwa
 
la msing ni ushindani kombe la kimataifa yanga imefanya nini huko? huyu kanjubhai kawakalia kiunoni hasa hata hamuwza vizuri kwa kweli

La msingi kwetu sisi ni kuhakikisha tunachukua Ubingwa wa ligi Kuu Tanzania kila msimu kuanzia sasa.

Huko kimataifa ni kama kutimiza ratiba ya CAF ya kwamba kila bingwa wa ligi ni lazima ashiriki.

Wewe unamafanikio gani na huko.. Au mafanikio ni kushiriki nusu fainali ya huko mwaka 1993...? Kama hayo ni mafanikio yenu basi ndio kushnei kabisa.

KANJUBHAI ametupatia ubingwa pale Jangwani.. Tena mara 2 ndani muda mfupi sana.

Haijalishi kwamba Mwenyekiti wa Yanga Fc ni MHINDI /MUARABU /MPENDA /MZUNGU/ AU MCHINA.... Tunachokihitaji ni MATAJI YA UBINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA TU.
 
Jukwaa la michezo limevamiwa na wapori pori! Hawa wanaochangia na kujiita mashabiki wa Yanga sio wale tuliozoea kukutana nao humu. Ndio maana wanaona mafanikio ya timu ni kupanda ndege bila kujali ni hatua gani imefikiwa

Anayefikiria hivyo basi yakupasa umfundishe kwa MAFANIKIO YA YANGA FC NI KWAMBA IMETWAA MATAJI/UBINGWA UNAOJULIKANA NA FIFA NA CAF MARA NYINGI KULIKO KLABU YOYOTE ILE HAPA TANZANIA.

YANGA FC IMETWAA MARA 25.

-mwambie hivyo na uhakikishe anaelewa.
 
Unaonekana umekuja JF kutafuta umaarufu.....

Hivi unasema ulivyomfunga Yanga Fc goli 5 msimu huo simba ndio ilichukua ubingwa...........?

Hahahaha!

Unadhihirishisha Umbumbumbu wako.
Kijana umeanza kufuatilia soka la Bongo lini mbona unaongea kiushabiki tu bila point yoyote?
 
Hatimaye Simba imedhihirisha Bingwa wa Zamani na Bingwa Feki mpya wote ni sawa.

Kiboko ya Furniture za kichina Mvua tu nayo imewanyeshea wote ndembendembe.
 
hivi ninyi wafuasi wa mikia fc, Yanga atakapokuwa anacheza na Azam mtaishabikia timu gani ?
Hao wote wateja tu, hatuwezi kushabikia wateja wetu.

Hatuwezi kushabikia Bingwa wa Kichina wala Bingwa wa Zamani Feki. Fanicha za kichina kiboko yake Mvua tu na mvua ndiyo Simba FC.
 
Hata ya Etoile mlinunua ili mfungwe mabao machache. Jamaa wa Etoile aliangushwa kwenye box refa wa Kampala akauchuna
Ile mechi kweli Mpesa ilitumika maana yule jamaa alicheza rafu ya kijinga ili apewe kadi tu yeboyebo ipate nafuu. Maana bila hiyo pale zisingepungua 5.
 
mi yanga nitaishangilia azam mechi yetu hata cannavaro anajua
Yanga haina uwezo wa kuifunga Azam, visitafutwe visingizio. Yanga ameshinda sana kwa Azam na Simba ni sare vinginevyo kichapo tu, hizo huwa hazinunuliki kama Polisi FC na Coastal Union.
 
Duh! Zote hizo! Simba bana, kila kitu kwao ni fitna tu!
Hii inadhihirisha jinsi watu walivyo na unazi kuliko kuifahamu soka ya uwanjani. Ungekuwa sahihi kusema hivyo kama Simba ndiye angekuwa amefungwa bao 2.
 
Back
Top Bottom