Live Updates: Simba SC vs Azam FC, 03/05/2015

Live Updates: Simba SC vs Azam FC, 03/05/2015

kumbe watani ni wazuri i mean simba ni wazuri sema siasa tu nayo inaharibu mpira nlitaman sana nasi siku moja tuwagonge hawa watu maana simba sasa wanajisikia.

We endelea kuwasifia tu...

Wangecheza kama hivi leo dhidi ya Etoile du sahel..... Hahaha! MVUA YA MAGOLI INGEWASHUKIA......!
 
Simba wamenunua hii mechi.Kila siku wanatusema Yanga kumbe wao ndio kawaida yao. grafani11 Freeland Rumye

Hata wewe?simba tuna madeni,tumeyumba kiuchumi,tunaanza wapi kununua mechi kwa azam?hilo unatuonea ni bahati tu tulikua nayo.na nyie mlinunua kwa etoile nin?
 
Last edited by a moderator:
Angalau leo umemua kufunguka!

Yanga Football Club ni taasisi kubwa sana.

Aliwahi kupigwa ngumi ya uso na Nadir Haroub... akatokwa na DAMU mno.

Ndio maana huyo refa hakusita kuchukua Fedha mlizo haidi kumpa.
 
Ngoja niweke vizuri swali lako. Ningependa uandike hivi: Hivi umeshiriki mashindano ya kimataifa mara ngapi, na kati ya hizo umefika walau robo fainali mara ngapi? Kwa tunaoamini katika sayansi, ufanisi hupimwa kwa kuangalia uwiano wa output over input

Jibu swali hilo halafu uulize lako
 
Yanga wenzangu wamenisikitisha sana wanajisifu tu kuoanda ndege... kumbe ndo walichofata huko tunisia kuoanda ndege? huu ujinga na ndo maana manji anatukalia kiunon kwa sabab hi hii.... turudi tu homw tupumzike maana sasa hatuna kubwa zaidi.

huyo Manji anakukalia mwenyewe huko Kiunon...
 
Zamaulid kwani ni siri kuwa yanga tumekaliwa na manji kiunoni? ni siri? wala hili siyo siri kila mtu anajua na lipo wazi afadhari kwa wanaojitambua. we kaja katuahidi angejenga uwanja sasa akamaliza tukaenda kumpigia magoti kumsihi aendelee kama vile mataahira kumbembeleza arudi kuishikiria timu. pesa za manji zimeisaidia vipi yanga? angalia kwa mtazamo wa mbele achana na kushida kagame cup na kombe la vpl .... tuna nini sisi? akifa leo manji yanga inaendaje? inarudi kule kule na hawa wahidni ndo walivyo hawakufundishi kuvua samaki ila wanataka uwe unaenda kuwalamba miguu kuomba samaki. siku zote muendelee kumtegemea. Simba ni ma mbumbu ila YANGA ni MATAAHIRA kabisa na MAFALA. Mi navchukia ukoloni mambo leo .YANGA TUNASHINDA KWA KUHONGA MECHI .
 
Last edited by a moderator:
Zamaulid kwani ni siri kuwa yanga tumekaliwa na manji kiunoni? ni siri? wala hili siyo siri kila mtu anajua na lipo wazi afadhari kwa wanaojitambua. we kaja katuahidi angejenga uwanja sasa akamaliza tukaenda kumpigia magoti kumsihi aendelee kama vile mataahira kumbembeleza arudi kuishikiria timu. pesa za manji zimeisaidia vipi yanga? angalia kwa mtazamo wa mbele achana na kushida kagame cup na kombe la vpl .... tuna nini sisi? akifa leo manji yanga inaendaje? inarudi kule kule na hawa wahidni ndo walivyo hawakufundishi kuvua samaki ila wanataka uwe unaenda kuwalamba miguu kuomba samaki. siku zote muendelee kumtegemea. Simba ni ma mbumbu ila YANGA ni MATAAHIRA kabisa na MAFALA. Mi navchukia ukoloni mambo leo .YANGA TUNASHINDA KWA KUHONGA MECHI .

Yani hilo unalo jaribu kuzungumza ni Matapishi na Upoyoyo wa hali ya juu kabisa.

Unajifanya mshabiki wa Yanga kumbe wewe ndio yule aliyekuwa anaitwa [MALKIA WA NYUKI]

katika uongozi wake tumechukua ubingwa wa ligi Kuu Tanzania bara mara MBILI 2....unataka nini cha ziada.

Kwa sababu ndani ya kipindi ambacho Mhindi amechukua KITI simba haijawahi kuchukua UBINGWA wa ligi Kuu Tanzania .....

Mambo ya uwanja ni baadaye sana..... sio swala la Manji kujifanya.

Kumbuka Kabla ya Manji kuja Yanga Fc ilikuwa imechukua UBINGWA mara 23.

Jina la Yanga lilikuwepo na linaendelea kuwepo....bila kujali Mwenyekiti ni nani.
 
Last edited by a moderator:
ubingwa wa ligi kuu?ubingwa kitu gani.... we unalipwa sh ngapi? maana tunajua kuna watu mnaokula miguuni pake mabaki ya chakula chake. we huwa unapata sh ngapi? mi nlidhan toka amekuja yanga mmechukua ubingwa wa afrika au kombe la washindi? we unazungumzia hu ubingwa wa kununilika na wa kagame? are yu serious sister? ndo maana kumbe hatuendelei . sasa nmeshagundua tatizo ni nini wewe si tofaut na wale wanaosema kuwa yanga imepanda ndege simba haijapanda ndege kuwa MASHIRIKI WA MASHINDANO si ISSUE issue ni kuwa mshindani. we huoni hata platinum nao walikuwa washiriki and now wameshika nafasi za chini kabisa katika ligi yao na ni mojaya team mbovu kabisa huko kwao. mi nlidhani ungekuja na hoja za maana kumbe unakuja na viroja tu na kuzidi kuwatukanisha wanayanga walio makini. si ungenyamza kimya tu kama wenzako wanaonekana wenye busara. wewe umekuja umejiharibia kabisa demigodi... nlikuwa nakuheshimu sasa sikuheshimu tena. sijui umekula nini wewe mpaka tumbo lako limevimbiwa unakuja kutoa gesi tu humu.
 
ubingwa wa ligi kuu?ubingwa kitu gani.... we unalipwa sh ngapi? maana tunajua kuna watu mnaokula miguuni pake mabaki ya chakula chake. we huwa unapata sh ngapi? mi nlidhan toka amekuja yanga mmechukua ubingwa wa afrika au kombe la washindi? we unazungumzia hu ubingwa wa kununilika na wa kagame? are yu serious sister? ndo maana kumbe hatuendelei . sasa nmeshagundua tatizo ni nini wewe si tofaut na wale wanaosema kuwa yanga imepanda ndege simba haijapanda ndege kuwa MASHIRIKI WA MASHINDANO si ISSUE issue ni kuwa mshindani. we huoni hata platinum nao walikuwa washiriki and now wameshika nafasi za chini kabisa katika ligi yao na ni mojaya team mbovu kabisa huko kwao. mi nlidhani ungekuja na hoja za maana kumbe unakuja na viroja tu na kuzidi kuwatukanisha wanayanga walio makini. si ungenyamza kimya tu kama wenzako wanaonekana wenye busara. wewe umekuja umejiharibia kabisa demigodi... nlikuwa nakuheshimu sasa sikuheshimu tena. sijui umekula nini wewe mpaka tumbo lako limevimbiwa unakuja kutoa gesi tu humu.

MALKIA WA NYUKI nakuona umehamaki sana baada ya kuona timu yako uipendayo iko HOI KWELI KWELI.
 
utapata shida sana kuwaelimisha yanga. tena sana. ni watu ambao ni mataahira hasa linapokuja sula la their god kanjubhai... huyu ni mungu mtu wao. wanamwogopa sana kukweli. hakuna ambacho wanaweza hoji ile team kaikamata ipo mikononi mwake kama ni team yake, hapo wana yanga weng wamekaliwa kiunon kwa kweli. uwanja aliahidi hajajenga kawauzia chai huyo anakaribia kuondoka akagombee UBUNGE. katumia pesa nying sana kununua mechi yanga kimataifa chali hatua za awali tu. mnashabikia kushiriki wenzeu wanashabikia kushindana. SIMBA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
utapata shida sana kuwaelimisha yanga. tena sana. ni watu ambao ni mataahira hasa linapokuja sula la their god kanjubhai... huyu ni mungu mtu wao. wanamwogopa sana kukweli. hakuna ambacho wanaweza hoji ile team kaikamata ipo mikononi mwake kama ni team yake, hapo wana yanga weng wamekaliwa kiunon kwa kweli. uwanja aliahidi hajajenga kawauzia chai huyo anakaribia kuondoka akagombee UBUNGE. katumia pesa nying sana kununua mechi yanga kimataifa chali hatua za awali tu. mnashabikia kushiriki wenzeu wanashabikia kushindana. SIMBA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

KANJIBHAI Ametupatia Makombe a.k.a UBINGWA......!

Ndani ya miaka SITA (6) NIMEKOMBA VIWILI.... wewe hujapata kombe lolote ndani ya miaka 6 (achana na yale Makombe ya MCHANGANI).

Kanjibhai amemleta Tambwe, kutoka simba.

hacha tu wamlambe viatu, kwa kuwa anastahili..

Na nyinyi kama vipi mnaweza kumlamba VIATU HUYO AVEVA amewasaidia kutwaa Makombe ya MCHANGANI a.k.a mapinduzi cup.
 
... nilitaman sana nasi siku moja tuwagonge hawa watu maana simba sasa wanajisikia raha sana wanapotembea mitaani kwa kutufunga yanga mara mbili.
Acha kujipunguzia vipigo. Mara mbili tu?
 
we jamaa utakuwa ndo wale division 5 kabisa yaan hata hoja zako naziona ni zile za wanayanga wanaokaa pale kumpraise manji. tambwe amekuja yanga baada kuachwa simba si kwamba alitolewa yanga. umesahau kanjubai alinyang'anywa OKWI na aveva akasema anaenda kushtak fifa mpaka leo hajarudi tena? huyu okwi aliyekuja kuwagonga kimoja mechi ya mwisho?kuchukua kombe la vpl wala si issue hata kidogo unakumbuka mara ya mwisho mmepigwa 5 kwa yai simba ikichukua ubingwa bila kupoteza hata mechi moja? ni mwaka gani? ubingwa wa bara nao unaona issue? kimataifa mmefanya nini? kumchukua tambwe baada ya kuwa ameachwa simba nayo ndo inakupa mapenz kwa kanjubhai? wewe unawadhalilisha sana yanga wenzako. how much does he pay to speak those rubbish? huoni wenzako wenye akili wamenyamaza baada ya kuona kiukweli hamna kitu hapo? unajua mechi ngapi ananunua ? waulize wanaojua mpira wa ndani ya yanga wewe mshabiki tu hujui lolote .onesha mafanikio aliyoleta manji na si kuzungumzia kombe la vpl la mill 77 wakati wenzako wanagonga mechi moja tu wanaondoka na kombe la mil 98 mechi moja tu ya NANI mtani jembe inatosha kukuzima wewe na kufukuza kocha. VPL si issue kubwa....la msing ni ushindani kombe la kimataifa yanga imefanya nini huko? huyu kanjubhai kawakalia kiunoni hasa hata hamuwza vizuri kwa kweli
 
Back
Top Bottom