Live Updates: Simba SC vs Azam FC, 03/05/2015

Live Updates: Simba SC vs Azam FC, 03/05/2015

Yanga wenzangu wamenisikitisha sana wanajisifu tu kuoanda ndege... kumbe ndo walichofata huko tunisia kuoanda ndege? huu ujinga na ndo maana manji anatukalia kiunon kwa sabab hi hii.... turudi tu homw tupumzike maana sasa hatuna kubwa zaidi.

Kuoanda ndege tena twice? Homw. Mbumbumbu kazini
 
Yanga wenzangu wamenisikitisha sana wanajisifu tu kuoanda ndege... kumbe ndo walichofata huko tunisia kuoanda ndege? huu ujinga na ndo maana manji anatukalia kiunon kwa sabab hi hii.... turudi tu homw tupumzike maana sasa hatuna kubwa zaidi.
mbwa mwitu (mikia sc) ndani ya ngozi ya ndoo(timu ya wananchi YANGA )
 
Kufurahia kupata nafasi ya uwakilishi ili tu upande ndege ni ushamba! Kama unaona ni dili kupanda ndege, unaweza kwenda Uturuki tu kwa ndege wachezaji wakapigepige mipira warudi tena kwa ndege. Ni ushamba kushabikia kupanda ndege halafu robo fainali hufiki!

Kuwalazimisha wakina Danny Sserenkuma kuoga maji ya dawa za mizizi sio ushamba...?
 
Kila mtu amekaa chumbani kwake kalala na mumewe halafu mnabishana hamna hata mmoja anayeangalia mpira. Leteni updates kama hamuwezi muende jukwaa la chitchat mkabishanie huko
 
Haya, kwa lugha hiyo hiyo; umepanda ndege mara ngapi na umefika robo fainali mara ngapi? Nataka nijue tija ya kupanda ndege!
Tuje katika swali lako Kama Yanga ni bingwa mara 25 ligi kuu na nyie mambumbumbu Mara 18 basi yanga mashindano ya kimataifa kashiriki sana kuliko nyinyi au TIMU YOYOTE ILE TANZANIA NARUDIA TENA KASHIRIKI MARA NYINGI MASHINDANO YA KIMATAIFA KULIKO TIMU YOYOTE ILE TANZANIA.

NOTE: Ukiuliza uliza tena swali la Maana si haya ya ambayo yako wazi. MPAKA SASA KWA MASWALI YAKO UMEDHIHIRISHA WEWE NI MBUMBUMBU ULIYEKOMAA UMEMZIDI HADI AVEVA
Kuna kipande cha swali haujajibu hapo, halafu naona unazuia nisiulize tena! Basi nipe jibu la hilo swali uliloliacha, mmefika walau robo fainali ya mashindano ya CAF mara ngapi? Hiyo robo fainali ina maana kubwa katika biashara ya mpira na ndio maana nauliza, ukitaka ufafanuzi, nitaanzisha thread maalum ya ruzuku za CAF zinavyozinufaisha klabu za Ahly, Zamalek, TP Mazembe, ASEC Mimosas, Orlando Pirates na nyingine nyingi kama hiyo Etoile SS. Ila kwa sasa nauliza, mmefika walau robo fainali ya mashindano ya CAF mara ngapi?
 
Hivi huyu kocha wa azam ametumia vigezo gan kumtoa Wawa sehemu ya ulinzi!!?
 
Kuwalazimisha wakina Danny Sserenkuma kuoga maji ya dawa za mizizi sio ushamba...?

bora mizizi, wanamlazimisha anduje wa watu aka mrisho mpoto wa mikia kuoga maji ya maiti hadi babu wa watu ikabidi akimbilie kwao uganda
 
Kwa jinsi ninavyo wajua yanga fc....! Na fitina zao. Basi watawaachia azam fc wachukue point 3 ili washike nafasi ya pili 2.
 
Kwa sasa kinacho matter ni kuhakikisha tunashiriki kimataifa mara nyingi iwezekanavyo... Bila kujali nafasi ambayo tuna ishia.
Kwa lugha hiyo, you don't deserve to be among soccer family members, wala haitakuwa busara kudiscuss na wewe
 
Simba 1 azam 0 goli limefungwa na hajib kwa kichwa
 
Kumbuka AZAM FC Wana mechi mbili mkononi.

-Wana point TATU 3 kutoka kwa Yanga.

-wana point TATU 3 katika mechi iliyobaki.

Jumla point SITA 6 za kutosha.
 
Back
Top Bottom