Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Kuna kipande cha swali haujajibu hapo, halafu naona unazuia nisiulize tena! Basi nipe jibu la hilo swali uliloliacha, mmefika walau robo fainali ya mashindano ya CAF mara ngapi? Hiyo robo fainali ina maana kubwa katika biashara ya mpira na ndio maana nauliza, ukitaka ufafanuzi, nitaanzisha thread maalum ya ruzuku za CAF zinavyozinufaisha klabu za Ahly, Zamalek, TP Mazembe, ASEC Mimosas, Orlando Pirates na nyingine nyingi kama hiyo Etoile SS. Ila kwa sasa nauliza, mmefika walau robo fainali ya mashindano ya CAF mara ngapi?
Sioni maantiki ya kukujibu kwa sababu jibu unalo ingekuwa vizuri uweke humu kwa faida ya wengi kama unafaham kama hujui sema nikujibu. HAYA HATA KAMA HATUJAFIKA THEN WHAT.? NDIO MTAPEWA UBINGWA AU? Au hiyo robo fainali unayoipigia kelele mmefika mara ngapi kumi au ? WEWE KWELI KILAZA HATA SIPOTEZI MUDA WANGU TENA KUKUJIBU