Dk 7 za nyongeza haya..
hivi ninyi wafuasi wa mikia fc, Yanga atakapokuwa anacheza na Azam mtaishabikia timu gani ?
Simba hiko vizuri wewe......
Hata ya Etoile mlinunua ili mfungwe mabao machache. Jamaa wa Etoile aliangushwa kwenye box refa wa Kampala akauchunaSimba wamenunua hii mechi.Kila siku wanatusema Yanga kumbe wao ndio kawaida yao.
Hii gemu hii..
Ongereni Mikia FC... Lakini nafasi ya PILI haiwahusu.
ndetichia kwani vipi tena mkuu
Ni siku ya mechi ya Azam Vs Yanga
mi yanga nitaishangilia azam mechi yetu hata cannavaro anajua