Naona sure boy kala red card
hawajaacha tabia yao ya kununua marefa ili washinde????????
Naona sure boy kala red card
Kwa tathmini ya haraka haraka utaona kwenye uzi huu waliojaa ni kandambili kufarijiana kwamba wamepanda ndege hadi Tunisia! Ni aibu kushindwa kutoa walau sare; yaani timu inacheza pungufu ya mchezaji mmoja lakini inakuwa na ball possession ya 51% against 49% plus ushindi juuHalafu Mbona hawatokei kutoa update Za mechi yao???
hawajaacha tabia yao ya kununua marefa ili washinde????????
Wanaonunua mechi wapo Tunis kufanya shopping (sio kuibuka washindi na kuingia walau robo fainali)hawajaacha tabia yao ya kununua marefa ili washinde????????
Kufurahia kupata nafasi ya uwakilishi ili tu upande ndege ni ushamba! Kama unaona ni dili kupanda ndege, unaweza kwenda Uturuki tu kwa ndege wachezaji wakapigepige mipira warudi tena kwa ndege. Ni ushamba kushabikia kupanda ndege halafu robo fainali hufiki!
Simba piga Azam ukatuwakilishe kimataifa sio hawa wanaoanguakia pua kila uchwao. Simba juuuuuuuuuuuuuuuuu
Haya, kwa lugha hiyo hiyo; umepanda ndege mara ngapi na umefika robo fainali mara ngapi? Nataka nijue tija ya kupanda ndege!... NDEGE HAMPANDI INAMAANISHA KUWA KULOGA MNALOGA LAKINI MASHINDANO YA KIMATAIFA HAMSHIRIKI. Nadhani umenipata hapo.
Kwanini haina mvuto..?
Wanaonunua mechi wapo Tunis kufanya shopping (sio kuibuka washindi na kuingia walau robo fainali)
hivi mara ya mwisho kushiriki mashindano ya kimataifa ilikuwa mwakan gani?, Na mlicheza Na timu ipi, kutoka nchi gani? Na mliishia round ya ngapi?? na aggregate ilikuwaje??? Naomba unikumbushe tafadhari
hivi mara ya mwisho kushiriki mashindano ya kimataifa ilikuwa mwakan gani?, Na mlicheza Na timu ipi, kutoka nchi gani? Na mliishia round ya ngapi?? na aggregate ilikuwaje??? Naomba unikumbushe tafadhari
hivi mara ya mwisho kushiriki mashindano ya kimataifa ilikuwa mwakan gani?, Na mlicheza Na timu ipi, kutoka nchi gani? Na mliishia round ya ngapi?? na aggregate ilikuwaje??? Naomba unikumbushe tafadhari
Wanaonunua mechi wapo Tunis kufanya shopping (sio kuibuka washindi na kuingia walau robo fainali)
Haya, kwa lugha hiyo hiyo; umepanda ndege mara ngapi na umefika robo fainali mara ngapi? Nataka nijue tija ya kupanda ndege!
Haya, kwa lugha hiyo hiyo; umepanda ndege mara ngapi na umefika robo fainali mara ngapi? Nataka nijue tija ya kupanda ndege!
Hawakuenda Tunis kama mabingwa wa mwaka huu, ila washindi wa pili wa mwaka jana. Tujitokeze airport kuwalaki 'washiriki' wetu wa mara kwa mara bila mafanikiounamaanisha mabingwa wako au?,
Haya, kwa lugha hiyo hiyo; umepanda ndege mara ngapi na umefika robo fainali mara ngapi? Nataka nijue tija ya kupanda ndege!
Kwa tathmini ya haraka haraka utaona kwenye uzi huu waliojaa ni kandambili kufarijiana kwamba wamepanda ndege hadi Tunisia! Ni aibu kushindwa kutoa walau sare; yaani timu inacheza pungufu ya mchezaji mmoja lakini inakuwa na ball possession ya 51% against 49% plus ushindi juu