Hivi matokeo yalikuwaje? Nani amesonga mbele na atakutana na timu gani?
Come azam fc wanalambalamba..
Kama amesonga mbele sasa cha moto amekionaje? Kucheza pungufu?amesonga mbele du sahel ila chamoto amekiona
amesonga mbele du sahel ila chamoto amekiona
Nani alikiona cha moto ?
Wanajangwani shangilieni azam labda itawafariji ila simba ni taifa kubwaaaaaa
Mwakani mtaishia round ya kwanza tu.. Hamna uzoefu na mashindano makubwa
Hata tukiishia round ya kwanza ukweli utabaki palepale Yanga ndiye atakayekuwakilisha kimataifa taka ustake shangilia usishangilie wewe mbumbumbu na wananchi wote wa Tanzania
Nyie mtabaki na litimu lenu kila msimu mnalipishwa faini za ushirikina na NDEGE HAMPANDI. Badilikeni acheni kucheza soka la kishirikina anzeni kucheza soka la kitabuni kama Yanga
Kufurahia kupata nafasi ya uwakilishi ili tu upande ndege ni ushamba! Kama unaona ni dili kupanda ndege, unaweza kwenda Uturuki tu kwa ndege wachezaji wakapigepige mipira warudi tena kwa ndege. Ni ushamba kushabikia kupanda ndege halafu robo fainali hufiki!Hata tukiishia round ya kwanza ukweli utabaki palepale Yanga ndiye atakayekuwakilisha kimataifa taka ustake shangilia usishangilie wewe mbumbumbu na wananchi wote wa Tanzania
Nyie mtabaki na litimu lenu kila msimu mnalipishwa faini za ushirikina na NDEGE HAMPANDI.