Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,150
- 2,922
Hivi huyo Mayala sio Msukuma mwenzangu kweliHivi hawa wote wabongo mkuu? Mayala![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huyo Mayala sio Msukuma mwenzangu kweliHivi hawa wote wabongo mkuu? Mayala![]()
😀😀 ni Muangola mkuu si msukuma huyo
Leo hajapanda na Mwa Fa
Hilo jina lina asili ya huko Bariadi, sasa Angola limefuata ninini Muangola mkuu si msukuma huyo
😀😀 atakua ndugu yenu huyu inabidi muulizie vizuri mkuu
Kiukweli mimi naona ni 50 50 jamaa wa Angola naye yupo vizuri, ni piga nikupige🤥Vipi matumaini ya Mwakinyo kushinda yapo ?