financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
Yaani kwenye pambano la Daudi kaway nilitamani niingie kwenye TV nimsaidie kumdunda Chris😀😀🙌Kaa mbali na hiyo tv ili mizuka ikikupanda ukilusha masumbwi tv ibaki salama.
Yaani kwenye pambano la Daudi kaway nilitamani niingie kwenye TV nimsaidie kumdunda Chris😀😀🙌Kaa mbali na hiyo tv ili mizuka ikikupanda ukilusha masumbwi tv ibaki salama.
Hivi hawa wote wabongo mkuu? Mayala 🤔Shindano la 7 Sasa Aningia Hassan Mwakinyo Tz Vs Antonio Mayala
Simtaki mimi namtaka babe Class wetu😀😀Yamekuvutia nikuchukulie namba?