Tumeonewa mangapi sembuse hilo?unaushahidi kama CCM wanahusika???
ukiambiwa ukaisaidie police utakua umeonewa?
fikiri kabla ya kuongea bwana mdogo.
Tumeonewa mangapi sembuse hilo?unaushahidi kama CCM wanahusika???
ukiambiwa ukaisaidie police utakua umeonewa?
fikiri kabla ya kuongea bwana mdogo.
Eee bhana kumbe inawezekana kuwa ignore ! Mimi ninao kama Watano hivi , on top of my List yupo huyu Ritz !
Taja wilaya yako tuifananishe na Iramba. Acheni tabia ya kuwachangisha wananchi halafu hakuna mrejesho. Nasikia zaidi ya mill 130 mmekusanya na muigawe kwa wafiwa bila hivyo hatutawaelewa
Mkuu wasikuangaishe hao kwani CDM ndio wametengeneza mbinu zote haramu. Mi nilijuwa gaidi Lwaks alipotoka nikajua atatutuliza sasa mmeona jamaa alivyohatari?unaushahidi kama CCM wanahusika???
ukiambiwa ukaisaidie police utakua umeonewa?
fikiri kabla ya kuongea bwana mdogo.
Kama kawaida matamko yasiyokuwa na tija kwa taifa ngoja tusubiri.
Siku nikisikia CDM kime futwa! nitafanya sherehe.
Mkuu Erythrocyte, hiyo ndio dawa yao. Just waweke huko ambako hata hizo comments zao za kijinga huwezi kuziona, hiyo ni dawa tosha. Nafikiri kuna haja ya kuwa identify book 7 wote na kuwaweka kwenye ignore list, huko ndiko wanakostahili kuwa. You can imagine mtu anakuwa tayari kuuza utu wake kwa ajili ya book 7. Kweli njaa kitu kibaya sana.
Tiba
Wazazi wako wanaangamia kwa njaa wewe kwa sababu njaa yako unashabikia upuuzi. Malipo mnayopewa kuwasaliti Wa Tanzania mwisho wake upo karibu sana.
Kwa jinsi Iramba ilivyo nyuma kimaendeleo. Nisingetarajia mtu kama wewe kushabikia upuuzi. Hata hivyo pole kwa sababu ya ufinyu wa fikra.
Nitakusaidia kwa hilo, mmoja wapo ni huyu mganga njaa, anaitwa Shelui
Tuko pamoja, tushikamane sana wakati huu, kwani kilichofanyika Arusha ni dalili tosha kwamba CCM sasa wamefikia karibu na Mwisho.
Kwa waroho wa madaraka kama akina Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba kwao kuua watu kadhaa bila kujali ni wa chama gani, kwao siyo issue, wanachojali ni kuendelea kutawala tu. Hawa jamaa ni blood suckers; ni nyoka, hawana hata tone la ubinadamu. Kwao chama chao ni mhimu zaidi kuliko maisha ya watanzania.Only serikali ya awamu ya nne mkuu, Kenya wana siasa ngumu na za matukio lakini hawawezi kufanya kanma hili ambalo ccm wamefanya. Kuuwa raia wasiyo na hatia?
Hivi walijuaje kuwa ummati wote ni CHADEMA? Hivi mtu ukihudhulia mkutano wa CCM ama NCCR unakuwa tayari ni member wa hicho chama!? Ama ni lazma uwe mwanachama kuhuhuria mkutano!? Wameuwa raia wema hadi watoto wasio na hatia.
Kama kawaida matamko yasiyokuwa na tija kwa taifa ngoja tusubiri.
mtueleze pia mkakati wenu kuhusu bomu umefanikiwa au imekula kwenu[/QU: NAOMBA KUKUULIZA, HOW MUCH DO THEY PAY YOU? AISEE KILA NIKISOMAGA UTOROJO WAKO HUMU NAPATA PICHA PIA JINSI UNAVYOFANANA PHYSICALLY! AU WANAVYOSEMA MNALIPWA 7000/- KUNAWEZA KUWA NI KWELI.
Hakuna dhiki mbaya kama dhiki ya Chakula ! Huyo bila upuuzi kama huu hawezi kula !
Tunajua wameuharibu mji Mzuri wa AR pia wamefanikiwa kuufanya mji wa AR kuwa wa kigaidi na impact yake mtakuja kuiona yangu machoBado naendelea kusisitiza ushabiki wa vyama usiojali uhai wa watu ni upuuzi. Mimi nipo huku Arusha sikufanikiwa kuhudhuria mikutano yote ya kampeni za udiwani, moja ya vitu ambavyo niliviona ni gari ya chadema kuharibiwa na wanachama ccm, laikini kilicho nifurahisha wakati huo ni kuwa viongozi wa chadema walikataa wanachama wao kufanya fujo yeyote. Naomba tuwe makini ndugu zangu Watanzania tunachezea maisha pasipo na sababu za msingi, ukiona mwenzako ana influence sehemu fulani usishindane naye ila shirikiana naye katika kuleta maendeleo. Na huu ndio ushauri wangu hata kwa mkuu wa mkoa wa Arusha acha kushindana na Lema hapa unaonesha kwa jinsi gani bado hujakomaa kama kiongozi, mtumie katika kuleta maendeleo kwa ule ushawishi wake, na msipoangali hii itakuja kuwagharimu ccm. Sure naweka kando ushabiki wa vyama cdm kwa hapa Arusha ina ushawishi mkubwa that's fact. Acheni ushamba
Asante sana Kurugenzi ya Habari
Tunasubiri video