Live Updates: Polisi Moro vs Simba

Jamani tuweni waungwana, hivi timu yetu ni mbovu kiasi hicho? acheni mambo yenu bana ya kuona wachezaji wazuri wako kwenu, na mngekuwa na timu yenye vipaji vingi na bora kama Azam sijui ingekuwaje.

Bas tuseme leo Polisi mpira umewakataa mana'ke Jamaa yangu yuko uwanjani anasema hajawahi kuiona Polisi ikicheza mpira wa hovyo kama leo,wanafanya makosa ya kijinga sn
 
Bas tuseme leo Polisi mpira umewakataa mana'ke Jamaa yangu yuko uwanjani anasema hajawahi kuiona Polisi ikicheza mpira wa hovyo kama leo,wanafanya makosa ya kijinga sn

So what are you trying to insinuate? Kwa hiyo wachezaji wetu mechi zote walizokuwa wanacheza ovyo nao walihongwa?
 
Hahaaa dua la kuku kwa mwewe tatizo. Yebo yebo wametia kila fitina lkn midomo shiiiiii.
 

Dua la kuku lingine. Dakika 6 za refa Polisi 0 Simba 2.
 
Jamani tuweni waungwana, hivi timu yetu ni mbovu kiasi hicho? acheni mambo yenu bana ya kuona wachezaji wazuri wako kwenu, na mngekuwa na timu yenye vipaji vingi na bora kama Azam sijui ingekuwaje.

Mkuu Masuke hongereeni sana leo mmeshinda. Mpira ndivyo ulivyo. Leo ni zamu ya Simba kutesa! Ni kutesa kwa zamu tu.
 
Last edited by a moderator:
Mara nyingi timu huchomoa kipindi cha pili. Ndio maana mikia wapo kimya hadi kipenga cha mwisho ndio tutawaona humu na kelele zao kama watakuwa wameshinda.

Ngoja tusubiri labda kipindi cha tatu.
 
Dk 90 Mnyama kaua vibaya polisi wawili hapo hapo
 
Bas tuseme leo Polisi mpira umewakataa mana'ke Jamaa yangu yuko uwanjani anasema hajawahi kuiona Polisi ikicheza mpira wa hovyo kama leo,wanafanya makosa ya kijinga sn

Simba anatisha wewe lazima miguu igongane kama wale watu wetu ambao tunajipigia kila mwaka kila wakati tukitaka.
 
Hii ndio timu iliyoitoa kamasi yanga mbona nyepesi?
Simba hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mmmmmm roho inaniuma ila cna namna maana dar cmba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…