Live updates: MTVMAMA Awards 2015!


Kama Dibanj na Don Jazz pia hata Diamond alionesha umoja na ushirikiano alipopatana na Producer wake wa kwanza Bob Junior pia na Kusolve tatzo lake na Manek. Pia msanii akienda international sana unavyofikiria ww kama Dbanj alivyopata management ya Kanye West GoodMusic ilimpa jina kwa mda mfupi na ikamtupa wakat alishaanza kuConcentrate na Soko la nje. Thn kilichofata mziki wake ulishuka coz alikua anatoa nyimbo nigeria wanasema hz not Nigeria now wanigeria walimdiss sana Dbanj thn akarud nigeria kwa DonJazz nw thy r cool. Haina haja ya msanii wa Africa kuhitaj sana kujulikana American au Europe na wazungu cc tu inatosha labda wapende hvo hvo no need of international management wala nini. Kuhusu kusema cdhani kama Mondi ashawah kusema kitu cha kuaibisha Taifa zaid ya kulipaisha tu.
 

kwanza makosa akiongea diamond tu?!mbona wao wanaongea shit na hawasemwi?!walichomfanyia diamond kilikua kizuri?mtu anakudhalilisha mbele ya wageni walitegemea akae kimya tu kwa roho gani ya tofauti aliyonayo!?
wacha awape dawa
 
hongera zenye ujazo wa kutosha ziende kwake #chibu
 

Sio vizuri hivo?
Kah
 

Hata huko ulaya wasanii wakubwa wanapeana vijembe vilevile!!tofauti na unavyodhani eti wasanii wanaijeria wanapendana sana,hawana lolote wale na wao wanavijembe vilevile
 
kuna habari hii imezagaa kwamba walikamatwa na polisi wa afrika kusini kwa kubeba vitu walivyovitilia mashaka.walihojiwa na baadae kuachiwa,je hili ni kweli? Kama ni kweli tunaelekea kubaya kama taifa
tawile
 

Mhhhhhhhhhhhh the second paragraph unamshauri diamond au wasanii wengine?
 
kwanza makosa akiongea diamond tu?!mbona wao wanaongea shit na hawasemwi?!walichomfanyia diamond kilikua kizuri?mtu anakudhalilisha mbele ya wageni walitegemea akae kimya tu kwa roho gani ya tofauti aliyonayo!?
wacha awape dawa

Yani Diamond sio muongeaji kabisa ukicompare na maneno au njama mbovu anazofanyiwa huyu kjana ad sometimes nasema anaUvumilivu sana yy ni kazi tu ndio zinatoa majibu" cjawah ona karopoka ujinga zaid ya maneno anayowekewa tu, anajua kujielezea kwenye media sana pia.
 
Hahahaaa kwani uongoooooooo! Mwambie afunge ile fekero yake au niitaje?

yaani leo amejua kujitia aibu bora tu angekaa kimya akaendelea na unafiki wake wa chinichini!,siku ile alivyokajimaliza na kijisifia kwamba yeye ni strong woman akiamua kutumia nguvu na uwezo wake kweye ktma,halafu diamond akakaa kimya alijiona anaogopwa au?halafu team chibu tulimuheshimu sana tu,hata baada ya zile tuzo watu hawakumtukana zaidi ya kumuonya tu

Sasa leo nahisi anajiharishia huko mbwa zake yule
 
nimehakikishiwa na mtanzania aliyekuwa hotelini hapo,walifatwa na gari la polisi wakakaa masaa baadae wakaachiwa
All nonsense si tunaimani na juhudi zetu ktk kupiga kura undo zimempatia hiyo tuzo kjna wetu,xo chekecha thread ako afu utengue kauli..?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…