Mnh! haya mambo haya!!Pamoja na jitihada za kutenegenza pilau kwa ajili ya kusherehekea Eid, wanakuja kushituka, salaleh....View attachment 269382 View attachment 269383View attachment 269384 yaani haliliki, wala halionjeki!!!!
Hivi Le Mutuz hajatoa tamkooo? manake Kashaniblock instaa kitaaambo,
Mtaa wa pili sherehe imetibuka...Ahahahahhhhahhhhhaaaaaaaaa lilipikwa biriani na wakavuaa makanzu na baraghashia juuu!!
Mwisho wa siku eid imeingia mdudu
Uso hiana fedhuri uongo..umekujaaa..
Kujifanya mashuhuri...kumbe chaka umechakaa!!
Aga..mwenzako mimi turufu si garasaaa..
Mwenye nyota ya umaaarufu si kupapasaa....
Tena tuzo ni nguvu za karataaa.........
Nasema na weweeeeeeeee hater!!!are u mad???Chinekeeeeee
Mtaa wa pili sherehe imetibuka...
keshamwaga upu.pu watu wanawashwa tu...
Uso hiana fedhuri uongo..umekujaaa..
Kujifanya mashuhuri...kumbe chaka umechakaa!!
Aga..mwenzako mimi turufu si garasaaa..
Mwenye nyota ya umaaarufu si kupapasaa....
Tena tuzo ni nguvu za karataaa.........
Nasema na weweeeeeeeee hater!!!are u mad???Chinekeeeeee
Nani amenuuuuuuuuuna!!nani amenuuuuuuuuuna !!nani amenuuuuuuuuuuuuna!!nani amenuuuuuuuuuuna!!
Hahahaaaaaa eti be like pyeeeeeeeeeeeeeeeeee.....uuuuwiiiii wanafiki wanalooo
mwaaaaaaaaaaaaaaaaa
Uuwiiii..., nafaa,mapigo ya moyo yamepanda. Aga, hapo ndo uwa ananimaliza
Mkuu unadhan kutumbuiza (Best live) ni kukata mauno na kucheza kifua wazi kama wana maswezi jukwaani?
Ndio tunachokitaka tunakuwa tunawaongelea wanaume diamond davido wizyy sio kimba hatutaki uchafu pande hizi
Tangu lini mkaa ukauzwa supermarket?? shine bright like a diamond oyoooooooooooooooooooooooooo am so happpy meeen i love is my kantri cute b Avemaria Shardcole afu tunataka utoe kimba maana ulishatoa ahadi uliapa mkuu jipige na selfie hatutaki upuuzi hapa
Uchawi tu hapa! Unajua p square mara ya mwisho walipata tuzo lini? Huna unalolijua afu unajichetua.
Uje na Id yako ya siku zote.