Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Period inakusumbua venyee na mwezi umeonekana kwa taarifa ako tuzo za MTV zote ni sawa na mtonyo ni uleule upate sijui tuzo gani sijui ipi kikubwa tuzo........hope davido next month he will come to end up ur MP

All da best!

Hahahaaaa basi hilo ndo tus lako?
Hahahaaaaaaa inauma lakiniii
 
Kuna watu wana Roho ngumu jamani khaaaa kweli Tanzania kuna maajabu eti shabiki wa alikiba bila aibu anakuja hapa kumlinganisha na diamond kiba mwenye Alisha sema jamaa simuezi.......anyway MFA maji haishi kutapa tapa

We jamaa unawaza vizuri saana...kiba alisema huo mziki wa dai hauweziiii...akasema wasimfananishe nae lakn jamaaa ving'aniz lol
 
Tuzo zote za heshima we vipi baba ako na mama ako nani wa heshima nijibu faster then I will BE back ASAP to answer ur QN!

Wew usiwaingize wazazi wangu hapa umezidiwa aibu lalaaaa
 
Ni kweli kabisa..

Yaaah hivyo yaan... kumbe una fight na fake id eeeh pole sana.
Ila usiwe unampiga mtu personal mimi sio staa useme unanijua.
Hapa namwongelea star DAVIDO sasa personal issue zangu hapa zinahusuuu?
Au unazani ndo utatumia kigezo cha kunizimaa? AlaaaaaaaaaaAh mutrotro ya kike ni namba nyingine bhana.
Huuu moto ni sawa na moto uliolipuka kwenye kisima cha petrol.
Ukitaka kubishana na mimi usiingize my personal issue full stop pain in peace
 
Yaaah hivyo yaan... kumbe una fight na fake id eeeh pole sana.
Ila usiwe unampiga mtu personal mimi sio staa useme unanijua.
Hapa namwongelea star DAVIDO sasa personal issue zangu hapa zinahusuuu?
Au unazani ndo utatumia kigezo cha kunizimaa? AlaaaaaaaaaaAh mutrotro ya kike ni namba nyingine bhana.
Huuu moto ni sawa na moto uliolipuka kwenye kisima cha petrol.
Ukitaka kubishana na mimi usiingize my personal issue full stop pain in peace

Yes personal issue za nini? ? Ni dalili za kushindwa hoja...alafu ni ujinga saana....
DAVIDO IS BEST MALE ARTIST
DAIMOND IS BEST.....
 
Yaaah hivyo yaan... kumbe una fight na fake id eeeh pole sana.
Ila usiwe unampiga mtu personal mimi sio staa useme unanijua.
Hapa namwongelea star DAVIDO sasa personal issue zangu hapa zinahusuuu?
Au unazani ndo utatumia kigezo cha kunizimaa? AlaaaaaaaaaaAh mutrotro ya kike ni namba nyingine bhana.
Huuu moto ni sawa na moto uliolipuka kwenye kisima cha petrol.
Ukitaka kubishana na mimi usiingize my personal issue full stop pain in peace

Ok... :iamwithstupid:
 
Usiku mwema love wangu.
Nithamehe kama nimekukeraa

Hapana...upo sahihi dai kwa davido badoo saana...but kwa vile mimi ni mzalendo....tz kwanza soo dai kwngu wakwanza davido badaeed
 
Yes personal issue za nini? ? Ni dalili za kushindwa hoja...alafu ni ujinga saana....
DAVIDO IS BEST MALE ARTIST
DAIMOND IS BEST.....

Ndio love.
Sasa limtu limeshindwa kuvumilia linaanza kujidai linanijua sana maraa ooohh unajidaigi unajua sana adi kwenye nyuzi nyingine sijui nini hewa tuuuu. Kwa hiyo inahuuusu.
Wote ni ma best mkuu .
 
Back
Top Bottom