Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

Live updates: MTVMAMA Awards 2015!

kwa mwaka jana haina ubishi..

kwa mwaka huu diamond, na tutaichukua mwaksni
nenda huko wizkid co muafrika au ojuolegba itachukua matuzo kibao na mwakani ndo best male wizkid
 
Acha hizo sote tuna akili kama ni hvy bac ingeshindaniwa tuzo moja au category moja tu hicho ni kipaji na ndo mana ht vodovido wk kakishiriki mbululaaaaaaaaaaa nnnn???????

Hahahaaa davido sio mnenguaji ni MWANAMUZIKI BORA
 
Nauliz hiviii..
Wale waliokuwa kila saa wananiita ni waliniita nije nione domo alivyo mnenguaji bora kama shilole au?
Davido bhanaa hahahaaaa

piga kelrleeeeeeeeeeeeeee hahahahaha team kimba wamekaaaaaaaaaaa maniiina mlifikiri basata wale?? best live diamond

Na baada ya hapa tunapandisha dau kwashow 1 mil 100
 
Hongereni mkuu.
Domo sio mwanamuziki ni dancers..
Hamna tofauti kati ya domo na mose iyobio hahahaaaaa

Hivi mpumbavu kama wewe umecheki shoo umeona wanigeria wanavyo support mziki wao.na walivyo wengi kwenye nomination za MTV?alaf unamponda mtu mmoja anaye wakilisha nchi..ujinga mtupu
 
Kuamini diamond ni best live act mbele ya Mr flavour ni zaidi ya upopona
Kwa Africa hakuna msanii yeyote anaemfikia flavour kwa live performance

Kama unaikosoa tuzo ya utumbuizaji aliyoshinda Kiba ktma mbele ya dai

Kosoa na hii dai hamfikii flavour hata kwa bakora
 
Ha haa bebe...kura zenu zote zungeenda kwa chib si ingekuja home hii?? Thoo davido yupo njemaa zaid..

DAVIDO ndo anastahili kuwa mwanamuziki bora kama kiba hahaHAAAAA ILA DOMO KWA KUNENGUA ATA SHILOLE HAONI NDANI.
HATAREEEEE
 
Kupitia hizi tuzo za mtv, kuna kitu chakujifunza, jamaa wanatenda haki nakuangalia vingezo mbalimbali zaidi yakupiga kura, sio hizi tuzo zetu zinatoka kama njugu

le mutuz

aliongea hilo akaishia kutukanwa Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hizi tuzo si rahisi kupata kama wengi wanavyofikiri, ndo mana kuna umuhimu wakupeleka wasanii wengi kimataifa, cheki wanigeria wamezoa tuzo kibao, sisi tumekalia majungu
 
Hahahaaaaaa team ndomo wanajua domo kwa davido bado sana ndo maana dakika za mwisho wakashtuka wakakubaliana wa vote sana kwenye kipengele ambacho davido hayupo la sivyo wangekufa leo
kile chenyewe kakikwaa kwa bahati mbaya mwakani wizkid anamkalisha mtu yani domo limshinde davido c maajabu hayo
 
mwanamuziki kibakuli nasikia ataanza mamantilie tour sio mda kuwashukuru watu kwa kuangalia video ya cheketua youtube
calm down bhana kiba kaingiaje acha hizo
 
Back
Top Bottom