naona wachawi wameanza kujimwaga waanze kuwanga
Tuzo ya unenguaji na uanamziki bora ipi nzuri na ya heshima? Tehe teheeeeee
kumshindanisha davido na domo ni sawa na bajaji mbovu na noah mpyaa au mlima na kichuguu
Domo kapewa ya unenguaji hahahaaaaa kwa kunengua ni sheeedaa...
Ananengua huyo kama anakufa kesho...
Siku imeisha vizuri. Goodnyt ppoz na team watumbuizaji tetete
kumshindanisha davido na domo ni sawa na bajaji mbovu na noah mpyaa au mlima na kichuguu
Wamefufuka.Hizo nguvu mnazozitumia kujipendekeza kwa davido ni bora mngekua mnamshauri mzee wa madaladala nae abadilike walau tumuone huku MTV japo hata kushiriki tu.
labda ww mi nlikuwepo mda wote hata marekani wangemsaidia kupiga kura bumbum co wimbo uleee ni kwayaSi bora yeye anangoja mtoto, kiba hata kiwanja hana
naona mmeanza kuja pg ya 30 chupi zilikua zinabana
Mkuu dstv ipo ila tatizo nimezima tv ili nisiendelee kuangalia hujuma zinazofanyika huko mtv eti dai is more than mr.flavour? Duh
Poor black mother
Hahahaaaaaa team ndomo wanajua domo kwa davido bado sana ndo maana dakika za mwisho wakashtuka wakakubaliana wa vote sana kwenye kipengele ambacho davido hayupo la sivyo wangekufa leo
Siku imeisha vizuri. Goodnyt ppoz na team watumbuizaji tetete
I_am_davido