Live updates mkutano wa ukawa pemba


Bunge la intrahamwe?
 

Tapeli mkubwa! Madai gani watayapata ndani ya bunge ambalo wengi ni CCM na wanabeba upuuzi wa s2 bila aibu. Tunamwambia JK likizo hadi kieleweke.
 
Tapeli mkubwa! Madai gani watayapata ndani ya bunge ambalo wengi ni CCM na wanabeba upuuzi wa s2 bila aibu. Tunamwambia JK likizo hadi kieleweke.
Mimi nimejaribu kuleta tu ambayo wanaelezwa wananchi na nina hakika wanaamini hivyo hasa nilisikiliza maoni yao kwenye vyombo vya habari. Hili kuondoa taswira hii, wapeleke kwa kina basi badala ya kurejelea Yale yanayoeleweka tayari.
 

walishasema ikiwemo kutokuheshimiwa kwa maonia ya wananch
 
Raisi kesha mtunuku Jaji nishani ya muungano hivyo serikali tatuhazi hepukiki
 
ACT wanataka kuanzisha taifa la waha na wahutu!
 
Ha wanaruka ruka tu huko. Kwa CCM hawafui daf labda sii CCM wazee wa fitna..CCM wanambinu nyingi sana si ajab badae ukaona UKAWA wanafarakana.mimi yangu macho tutaona mwisho wake tuombe uzima tuu.. maana siku hazigandi
 
Hhahahahahaaaa

Tuendelee kuwachochea wajitenge....
 
Daaa lissu kaua


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…