Live updates mkutano wa ukawa pemba

Live updates mkutano wa ukawa pemba

Tanganyika mnaweza au mnayaweza haya ,huu ni mwanzo hao Wapemba wakiamua kupambana basi wanapambana kiume ,waulizeni polisi kilichowakuta huko ,yaani Wapemba waliziisabu risasi na walipopiga hesabu kuwa risasi zimewaishia hapo ndipo polisi walipoanza kwenda mbio ,jamaa anasema hajawahi kuona ,kumbe polisi wanambio ,aisee wanaruka matuta si mchezo,wakikimbia kifo !Aliyeishiwa mbio halali yao !
 
Nilifikiri baada ya hadithi za Hekaya ya ABUNUWASI siku ya MUUNGANO watu watakula kona,kumbe bado walikuwa wanasubiri.Wale waliojaa maeneo walienda kuangalia ngoma,sarakasi na michezo na si sababu ya MUUNGANO.Kazi kweli kweli.
 
Tunataka serikali
images
 
chadema wanatamani Zanzibar.iwe kama marangu au kiborloni
 
nia na madhumuni ya ukawa ni
haya:
1.CHADEMA: chadema nia yao
kubwa ya kuwepo kwenye ukawa ni
kuunda taifa la Tanganyika ambalo
litapelekea muungano kuvunjika..
hii ni kwa sababu chadema
imeshindwa kukubalika Zanzibar
kwa hiyo hata muungano hawana
haja nao
2.CUF: Cuf nia yao kubwa ya
kuwepo ukawa ni kuvunja
muungano ambako kutapelekea
kujitenga kwa visiwa vya pemba na
unguja... cuf wanataka kuunda
taifa lao la pemba na hiyo
itafanikiwa iwapo tu muungano
utavunjika
3.NCCR MAGEUZI: Hawa ni
bendera fuata upepo hawana kitu
chochote wanachosimamia kwenye
ukawa.. ki ufupi hawajielewi
 
Tupen kilichozungumzwa si picha pekee

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
nia na madhumuni ya ukawa ni
haya:
1.CHADEMA: chadema nia yao
kubwa ya kuwepo kwenye ukawa ni
kuunda taifa la Tanganyika ambalo
litapelekea muungano kuvunjika..
hii ni kwa sababu chadema
imeshindwa kukubalika Zanzibar
kwa hiyo hata muungano hawana
haja nao
2.CUF: Cuf nia yao kubwa ya
kuwepo ukawa ni kuvunja
muungano ambako kutapelekea
kujitenga kwa visiwa vya pemba na
unguja... cuf wanataka kuunda
taifa lao la pemba na hiyo
itafanikiwa iwapo tu muungano
utavunjika
3.NCCR MAGEUZI: Hawa ni
bendera fuata upepo hawana kitu
chochote wanachosimamia kwenye
ukawa.. ki ufupi hawajielewi

INTARAHAMWE mwaka huu lazima mjinyee.
 
Back
Top Bottom