Bobwe1
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 396
- 95
Nilifikiria fursa hii ya mikutano ilikuwa kuwaeleza wananchi kwa nini wametoka nje ya Bunge, lakini naona wanarudia yaleyale yanayojulikana tayari. Kilitokea nini hasa kikawafanya watoke bungeni? Wanapaswa kueleza ili wananchi wawaelewe, maana mpaka sasa wananchi bado wana imani kuwa wanayoyadai wanaweza kuyapata ndani ya Bunge.
Bunge la intrahamwe?