Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

Live updates: Mkutano wa CHADEMA - Songea

hapana mkuu mimi nilikuwa na mpa changamoto ya siasa zetu!simtishiii wala hakuna mtun yeyote aliyenituma ha JF Nachangia kwa utashi wangu binafsi

pole kama nimekukwaza mkuu

Mkuu Obama wa bongo, hebu niambie ni kipi kimempata Dady Igogo? Yuko wapi kwa sasa? Huyu jamaa yangu sijamsikia siku nyingi.

Tiba
 
mohamedimtoi hivi wewe u nani chadema!maaana nawajua kuna vijana wengi walikuwa busy na chadema mwisho wa siku wanatupa kule bila ya msaada wowote na kushauri achana na siasa maji taka zitakupotezea muda!
case study: wapi alipo ludovick joseph,henry kilewo,dady igogo etc! take care bwana mdogo

Ninalaumu sana kusitishwa kwa JKT kwa mujibu wa sheria toka miaka ya 90. Matatizo yake ndo haya, watu wanawaza msaada msaada. Mtoi hahitaji kusaidiwa na CHADEMA, yeye ndiyo anawasaidia walalahoi kupitia CHADEMA. Na wewe hujakatazwa kuwasaidia mafisadi kupitia ccm. Umenifanya nikafungua kwa ajili yako lkn inshallah nitalipia
 
Wapi kwenye maandiko imezuiliwa kufanya shughuli za kisiasa mwezi mtukufu?

Ungewakemea Syria na Misri ningekuelewa.
Sijakuelewa msingi wa kuitaja Syria na Misri,hapa ninazungumzia Tanzania na watanzania.
 
Mkuu Obama wa bongo, hebu niambie ni kipi kimempata Dady Igogo? Yuko wapi kwa sasa? Huyu jamaa yangu sijamsikia siku nyingi.

Tiba
ningekwambia ila sheria za JF haziruhusu kuongelea mambo ya watu public,ila mcheki facebook nimechat nae this morning! i appreciate him ni moja kati ya hazina kubwa kwa taifa ila sio BAVICHA
 
Mohamedi Mtoi,ni lini Chadema itaenda Tanga?
 
Chadema hawaheshimu hata mwezi mtukufu
Acheni kuchafua dini zisizowahusu, kwani Mwezi mtukufu ni kwa ajili ya kufanya tafakuri ya kina , na Chadema wanafanya tafakuri kuhusu Taifa ,

Tatizo , unajifanya wewe ni muislam hebu andika aya moja hapa , nitakujibu yatakayofuatia
 
Ninalaumu sana kusitishwa kwa JKT kwa mujibu wa sheria toka miaka ya 90. Matatizo yake ndo haya, watu wanawaza msaada msaada. Mtoi hahitaji kusaidiwa na CHADEMA, yeye ndiyo anawasaidia walalahoi kupitia CHADEMA. Na wewe hujakatazwa kuwasaidia mafisadi kupitia ccm. Umenifanya nikafungua kwa ajili yako lkn inshallah nitalipia
DUH! pole mkuu kwa kukatiza ibada yako ya swaumu,ila hapa tunajadiliana kwa hoja sio kwa vurugu!
Ramadan Kareem!
 
We MINGO ikatafute nini Tanga? Ccm yatosha.
 
Last edited by a moderator:
Updates ni kuwa mkutano umepigwa marufuku na kamanda wa polisi mkoa. Kule Songea watu hawataki kupoteza maisha kwa mabomu ya kujilipua wenyewe.

attachment.php
 
ningekwambia ila sheria za JF haziruhusu kuongelea mambo ya watu public,ila mcheki facebook nimechat nae this morning! i appreciate him ni moja kati ya hazina kubwa kwa taifa ila sio BAVICHA

Mkuu bahati mbaya mimi si mtu wa facebook, sina account huko. Unaweza ukani PM nakunipa contact zake tafadhali.

Tiba
 
We Mingoi ikatafute nini Tanga? Ccm yatosha.
 
Last edited by a moderator:
hapana mkuu mimi nilikuwa na mpa changamoto ya siasa zetu!simtishiii wala hakuna mtun yeyote aliyenituma ha JF Nachangia kwa utashi wangu binafsi

pole kama nimekukwaza mkuu
Nimekuelewa,tunajua mpo hapa,kitu muhimu mjaribu kuwa na uono wa jicho la tatu,hata mkiwa na hao baba zenu wapeni na ushauri kuwa wanayoyafanya sio mazuri,kwani nyie na familia zenu mtaishi peponi?nikimaanisha kuwa mnaishi na sisi hata kama ni Oysterbay,Masaki,Tandika au Mbagala,na pia hamtakaa maisha kwenye hizo nafasi zenu,hata kiwango cha maisha kuna siku kitabadilika,wajukuuu wenu watakuja kusoma na wajukuu wetu,kuweni makini sana!
 
Back
Top Bottom