RICH OIL SHEIKH
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 883
- 169
Ndiyo maana nikasema unafikiria ki-BAVICHA BAVICHA. kwa fikra zako tunaposea kupiga box unafikiri ni kupiga kweli box.
Welcome to London.
ni fiesta la ccm limeanza.
umesema kweli mkuu magari yamebeba watu mpaka Matombo,Mikese na Mgeta tumewaona kwa macho
Kwamba kapata sokozuri la menoya tembo ataongea na mwenyekitiwake ampe ndege msione tena!
Katibu mkuu wa CCM A.KINANA leo amehutubia mkutano wa hadhara huku akiwaambia wananchi kuwapuuza viongozi waCDM
.Umati mkubwa wahudhuria huku wakiwa na nyuso za tabasamu na imani kubwa kwa KINANA. KINANA awaambia kupuuza kauli viongozi wa CDM kwani wanaweweseka na uroho wa madaraka
.Mchakato wa katiba unaenda vizuri, CDM ni vigeugeu walidai kama wangepata nafasi ya kushika dora wangebadilisha katiba ndani ya siku 100 huku wakisaau kuwa katiba ni ya watanzania na sio ya CDM kwani siku 100 tu hutawezaje kuwafikia watanzania ukapata mawazo yao
.Watanzania waaswa kutotumika vibaya kwa wanasiasa kama kushiriki migomo, fujo na machafuko kwani haina tija kwa taifa letu kwani viongozi wa CDM wanataka kutawala kwa mabavu huku wakidai nguvu ya umma wakati nguvu ya umma ipo kwenye sanduku la kupigia kura
.Mboye anachochea migomo ya vyuo vikuu wakati yeye alipata ZERO kidato sita kwa hiyo haoni umuhimu wa elimu ya chuo kikuu, nae MNYIKA kumbe alidisco UDSM ila yuko msitari wa mbele kwa migomo ya vyuo vikuu ili tupate taifa la wajinga
Kwa nini izikwe wakati haina hata mbunge huko, wewe naona mavi yanagonga chupi maana unajua kuwa CDM wakija huko ni kukusanya watui wa hapo Moro waliochoshwa na utawala wa sultani(Abood) ambae kazi yake ni kugawa mabasi kwenye misiba basiKama kuna propaganda za kudanganya wananchi sasa tumebaini. Nimeangalia mkutano wa ccm morogoro hakuna ubishi kinana na nape wameizika chadema morogoro. Sasa tunaona juhudi za kulaghai watanzania ambao hawakuona hiyo tsunami. Akili ya kudanganywa changanya na ya kwako angalia television yako achana na maoni ya kupangwa
CHADEMA walileta wakufunz toka Ujerumani!kasema Mwenyekit ktk bashirafu!kudadadadek mpaka muhame nchi CHADEMA..Kitu live TBC TV na Radio! CHADEMA wapo Mwanza tu,sio tupo Moro lakn Tanzania nzima via TBC na CHADEMA wanatutazama na kutuangalia..CCM OYEEEEEE..MUUNGANO OYEEEE