Watu wako field sio kushinda kukesha kwenye mitandao km vile hakuna kaz ya kufanya hiyo isiwatie kichwa mkajiona mmemaliza kazi.
Hiyo ni dalili kuwa ukawa wasomi na wanafuatilia mitandao na zzm kinyume chake.Leo Lowassa yupo Pemba na mpaka sasa updates yake hapa JF ina comments 235. Magufuli jumlisha fiesta yupo singida mjini na ana comments 65,. Hali ni ngumu nyumba ya jirani watu wanasusia post zao. Lowassa anaendelea kumnyoosha Magufuli kila kona
Wafuasi wa ukawa sijui wanamatatizo gani aisee? Kwahiyo Rais anaamuliwa kwa comments sio? Comments zimekuwa nyingi kwa sababu mnaandika utumbo watu kama sisi lazima tuingie ili kurekebisha utumbo wenu...Leo Lowassa yupo Pemba na mpaka sasa updates yake hapa JF ina comments 235. Magufuli jumlisha fiesta yupo singida mjini na ana comments 65,. Hali ni ngumu nyumba ya jirani watu wanasusia post zao. Lowassa anaendelea kumnyoosha Magufuli kila kona
Mashabiki wa magufuli ni watu na hadhi zetu hvyo tuko busy na kusaka ngawira,sasa hao wa lowasa hawana kazi zingne zaidi ya muda wote kuwa jf kuanzisha mada zenye mchanganyko wa uharo kama hizi.
Wafuasi wa ukawa sijui wanamatatizo gani aisee? Kwahiyo Rais anaamuliwa kwa comments sio? Comments zimekuwa nyingi kwa sababu mnaandika utumbo watu kama sisi lazima tuingie ili kurekebisha utumbo wenu...
Leo Lowassa yupo Pemba na mpaka sasa updates yake hapa JF ina comments 235. Magufuli jumlisha fiesta yupo singida mjini na ana comments 65,. Hali ni ngumu nyumba ya jirani watu wanasusia post zao. Lowassa anaendelea kumnyoosha Magufuli kila kona
Dada vipi au humuoni Lowassa anavyowafanya matusi huko field? Au huoni babu duni anavyomfanya mana Samia huko field? Amka kilaza wewe
Watu wako field sio kushinda kukesha kwenye mitandao km vile hakuna kaz ya kufanya hiyo isiwatie kichwa mkajiona mmemaliza kazi.
Kama JF ni kipimo tosha Ben Saanane angekuwa mbunge wa Rombo hivi sasa.
Wafuasi wa ukawa sijui wanamatatizo gani aisee? Kwahiyo Rais anaamuliwa kwa comments sio? Comments zimekuwa nyingi kwa sababu mnaandika utumbo watu kama sisi lazima tuingie ili kurekebisha utumbo wenu...
Cheche che che che-sisimizi kameza pera.
Cheche che che che-sisimizi kameza pera.
EL wanyosso.