Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Dah huyu Mourihno bana

Eti kabla ya Penalti mambo yalikuwa sawa

Ila safi kakubali mziki wa Atletico ulikuwa mkubwa
 
Ewe MOLA tusaidie kulipa kisasi kwa huyu kiumbe, maana ulisema Kisasi ni cha BWANA! Sisi hatuna uwezo wa kimlipizia ubaya yote tumekuachia wewe BWANA wa majeshi!

Mkuu nimecheka sana nahayo maombi yako...!
 
ImageUploadedByJamiiForums1398891305.038917.jpg

The road to Lisbon is paved for the Madrid clubs...

#TheStadiumOfLight
 
Tatizo JM hawezi kupewa shavu Utd kwa sababu ya Style ya mpira wake

Tumetoka kwenye "Boring football", haiwezekani turudi tena huko huko.

Ila nina wasiwasi sana na vibarua vya Pep na Mourihno
rubaman
MKUU JM huwezi kumlaumu hapo, kwa mpira waliocheza Atl hasa wa kipindi cha pili, timu yoyote duniani unayoijua ingekalishwa!
 
Last edited by a moderator:
Maureen nafikiri hajamaliza hapa suburi baada siku ya Keesho au Keesho kutwa mtamsikia vizuri kuhusu game ya Leo Leo hakuwa na la kuongeza zaidi ya kufikiria Chelsea walikuwa better mpaka Atletico walivyopata Penalt akapumzike kwanza akiamka ataelewa Bus baada kupata goli moja likaamuwa Bus kurudi nyuma wote mpaka striker, matokeo striker anajaribu Kuwa beki anaondoa mtu yeye anasema hajaona vizuri Penalt, tunayomjua Maureen angepata yeye Penalt angeiona.
 
morinyo a.k.a mzee wa kupaki kontena kala mvua ya magoli darajani...MCHANA NLIWEKA UZI KUA MORINYO ANATOKA KUNA MDAU AKAPINGA .mara nyingi anayemtoa barcelona ndie anakua champion poleni wAzEe Wa KuPaKi BaSi...
 
Mpiga domo kawaida yake...sasa kibarua kipo kwenye hati hati...
Mrusi atampeleka akafanye kazi Ukraine anataka mchezo kazini Yule timu aliokuwa nayo Maureen ataona hata aibu kuomba mapesa kwa Mrusi hakuna sababu.
 
Hao Emirates hata wachukue haina shida...nilikuwa na tabu sana ya Loserfools kushinda EPL na hawa Chel$ki$ kushinda UCL...

Safi sana kilichobaki sasa tupo wote kwenye ligi yetu tumalizie kiporo hiki huku "Class of 92" wakitupa raha.

Tukutane nao Next season , tuone zipi mbivu zipi mbichi

cc. Pazi rubaman
 
Last edited by a moderator:
morinyo a.k.a mzee wa kupaki kontena kala mvua ya magoli darajani...MCHANA NLIWEKA UZI KUA MORINYO ANATOKA KUNA MDAU AKAPINGA .mara nyingi anayemtoa barcelona ndie anakua champion poleni wAzEe Wa KuPaKi BaSi...
Asante..
 
Safi sana diego simeon kwa kumziba mdomo kaka mlopokaji a.k.a morinho
 
Mrusi atampeleka akafanye kazi Ukraine anataka mchezo kazini Yule timu aliokuwa nayo Maureen ataona hata aibu kuomba mapesa kwa Mrusi hakuna sababu.

Anajitetea kwamba hana strikers!! Ajabu kabisa!!
 
Back
Top Bottom