Hawa madogo sijui wanapikwaje kisaikolojia!hawachoki.
Hata RM akichukua ubingwa itabidi ashangilie mwaka mzima maana haitakua kazi rahisi.
Hawa madogo sijui wanapikwaje kisaikolojia!hawachoki.
Mabingwa wa mabasi wamekuta parking imejaa treni
safi sana ni furaha tupu kuziba domo la mourinyo
Breaking News: Chelsea Bus has been broken down !!. Mfupa uliomshinda Liverpool umevunjwa vibaya sana na #Team #Atletico . Viva ATM
View attachment 154981
kiukweli roho yangu nyeupeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hao Emirates hata wachukue haina shida...nilikuwa na tabu sana ya Loserfools kushinda EPL na hawa Chel$ki$ kushinda UCL...
Atm ni wanoma joh(kwa lafudhi ya kikenya)
hunishindi mimi
Hamna siku nimefurahi kama leo..