Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Hahaa . CHELSEA inawa adhibu wengi eeh!
 
Bus limetekwa na maharamia wa kisomali
 
aiseeee hawa jamaaa walikuwa wanachonga sana mbona wangeshinda leo hayo makerere mpaka siku ya fainali mbona tungekoma

yani kuanzia mashabiki, kocha, golikipa pamoja na yule beki namba ngapi sijui aaghr..! ee yule anaetembeaga na wake za wachezaji wenzake, weee mtaani pangekua padogo
 
Walopaki baso vizuri dakk za mwanzo ila baada ya kupata goli moja na jamaa kuchomoa ikawa kupaki basi tena haiwezekani maana matokeo ya 1 1 yangemtoa chelsea hivyo ikawalzima kupanda mbele kurafuta goli na ndio hapo mambo yakaharibika beki zokawa uchochoro...maana beki za chelsea zimezoea kusaidiwa na wachezaji kumi wote ndani ya boksi...sasa walipoacha beki wa kawaida wenyewe ndio waloposhinda kumudu mikikimikiki ya Atletico. SHIKAMOONI ATLETI, Shabiki la Liverpool
 
Chelsea walimalizia nguvu kwenye game ya Liverpool!
 
Walopaki baso vizuri dakk za mwanzo ila baada ya kupata goli moja na jamaa kuchomoa ikawa kupaki basi tena haiwezekani maana matokeo ya 1 1 yangemtoa chelsea hivyo ikawalzima kupanda mbele kurafuta goli na ndio hapo mambo yakaharibika beki zokawa uchochoro...maana beki za chelsea zimezoea kusaidiwa na wachezaji kumi wote ndani ya boksi...sasa walipoacha beki wa kawaida wenyewe ndio waloposhinda kumudu mikikimikiki ya Atletico. SHIKAMOONI ATLETI, Shabiki la Liverpool

MARAHABAAAAAAAA! Hapo ndo inadhihirisha kuwa bila masemi-trailler Chelsick hamna kitu kabisa! Rodgers alisema ni rahisi sana kufundisha wachezaji 9 ndani ya box! Shabiki mwenzio wa Liverpool!
 
MARAHABAAAAAAAA! Hapo ndo inadhihirisha kuwa bila masemi-trailler Chelsick hamna kitu kabisa! Rodgers alisema ni rahisi sana kufundisha wachezaji 9 ndani ya box! Shabiki mwenzio wa Liverpool!

Mwingine mimi hapa
 
Atletico Madrid walistahili ushindi, congrats zao!! Namfagilia kipa wao pia, yupo makini. Chelski poleni, gwaride liliwazidi. Kwi kwi kwiii
 
Chelsea wabadilishe mfumo wao wa uchezaji.
Wacheze mpira kwelikweli siyo mambo ya kuvizia kufunga na kurudi nyuma wote kuzuia msifungwe.
Ilivyokuwa 1-1 ikabidi watoke wakatafute goli hapo ndipo walipochanganyikiwa wakapoteana jumla.
 
Mabingwa wa mabasi wamekuta parking imejaa treni

No,walipaki treni darajani,watu wakaja wakachomoa kachuma kadoogo kwenye nguzo za daraja chini ya kichwa,ule uzito wa kichwa uka-do the rest kubomoa sapoti yote iliyobaki,kichwa kikashukia mtoni kikivuta behewa zake zote kwa upendo wa ajabu!
 
Ninasubili kumsikia atasemaje baada ya mpira

Ohh kumbe Stamford Bridge na wao wanatoka Kapa kama Ol Traford vile

Safi sana

Anfield kapa, Stamford Bridge kapa, Emirates {Dah Hull City plz do us a favour}
Acha dua mbaya kwa aseno miaka tisa mkuu
 
Naona Mourinho na Hazard wanarushiana Makombora ya reja reja. Mourinho anamlaumu Hazard kwa kutojitoa mhanga kwa ajili ya timu, Hazard analalamikia staili ya mpira afundishayo Mourinho

source BBC.co.uk football
 
Back
Top Bottom