Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Jamani naulizia mwenye welding helmet kwa ajili ya Diego Simeone asijetiwa vidole vya macho na Mourinho
 
Ewe MOLA tusaidie kulipa kisasi kwa huyu kiumbe, maana ulisema Kisasi ni cha BWANA! Sisi hatuna uwezo wa kimlipizia ubaya yote tumekuachia wewe BWANA wa majeshi!

Hahahaa imebidi nicheke tu
 
Chelsea wanaanza kupiga mpira wa kuingua maembe hehehehe! Wanapiga juu yanaanguka majani tu.
 
Naona kuna dalili za Mourinho kupishana na Bingwa zote msimu wa pili mfululuzo. Cjui leo ata tunga Uongo upi wa kudanganya vyombo vya habari kwa kipigo kitakatifu alicho ambulia leo.
 
Mpira umekwisha, Chelsea 1 - 3 ATM. Atm wanaingia fainali na ndg zao RM
 
Hivi kocha aliyesema atapanga timu mbofumbofu dhidi ya Liver ili achezeshe wale wazuri leo ndio huyu anaefungwa leo?
 
Etoo Kafanyaje? Sikuona aliesababisha penaty ni yeye?
 
Kumbe nao huwa wanalowa kiasi hiki? Wekuwa wadogo pamoja na kuwa nyumbani kwao!
 
Back
Top Bottom