DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
MKUU JM huwezi kumlaumu hapo, kwa mpira waliocheza Atl hasa wa kipindi cha pili, timu yoyote duniani unayoijua ingekalishwa!
Hata kama JM angeamua kupaki mabehewa yake tangia kipindi cha kwanza kama alivyofanya na Liverpool?
JM/Chelsea hawana plan b hilo ndio tatizo lao, wakiamua kufungua tuu, timu yeyote inayomiliki mpira na kushambulia kama A/Madrid lazima itaifunga
Tatizo hili hata Bayern wanalo