Kwa heshima na taadhima nawaomba Mods mtuhamishie uzi huu kwenye jukwaa la Sports, hapa tunapata taabu sana kuiona.
Umeongea la maana sanaKwa heshima na taadhima nawaomba Mods mtuhamishie uzi huu kwenye jukwaa la Sports, hapa tunapata taabu sana kuiona.
Ungetafasiri ili twende wote sawa.WABHEJASANA Makoye Matale,bhebhe niwelaghe kinehe kwene uko,kinehe bhayanda bhene abho?!
Kichapo watachokula yanga leo....mtasimulia nawaambia
Yanga 0 - 0 Mbeya city. Mganga wangu ndivyo alivyo niambia.
Mbeya City lazima akae tu...
Nimeanza kuijua Yanga kabla ya hao Mbeya City kea leo wanisamehe...
Niyoooonzimaa ayaa chakula kwa kipa
Mkuu nini tena¡
Atakua kala maharage huyo.Kipa kadaka shuti la moto la Didie Kavumbagu kaumia tumbo
ndoto za mcha nazo zina shida sana