Live updates 02/02/2014:yanga vs mbeya city

Live updates 02/02/2014:yanga vs mbeya city

Halafu wale washabiki wa kununuliwa wa mcc naona wanachungulia tu humu ndani hakuna anayetaka kutia mguu
 
mbeya city wamepaki basi kilichobaki ni kuzuia tu magoli yasiwe mengi yanga oyeeeeeeerr
 
wakuu. mbeya city wanacheza rafu tuu..mpira umewashinda wakipewa kadi nyekundu msishangae wakuu
 
mbeya city hawana kitu kabisa sijui wanashindaje mechi zao..leo lazima wapigwe tano bila
 
Alieanzisha uzi nae anaelement za kicho......
Unasema updats kumbe haupo uwanjan, jifunze kwe wengne akipost uzi kila linalotokea anaenda juu kabsa kwenye uzi wake anaselect edit, den anatupia mambo mwsho anasave changes sio lazma mtu apitia mawazo mgango ya watu wote kujua nan n nn,
 
mbeya city wanabutua tu hawana malengo yoyote leo watapigwa tano bila
 
Back
Top Bottom