Ungeweka ahadi ya BAN japo ya mwezi mmoja tu ningekua wa maana.
nishasema mbeya city wasipokula kichapo nitaomba ban...haiwwezekani katimu kamepanda daraja kimagumashi katusumbue sisi wakongwe..leo mbeya city ni kichapo tu..hakuna huruma
Ungeweka ahadi ya BAN japo ya mwezi mmoja tu ningekua wa maana.
nitaomba ban hata ya mwaka mzima..!mbeya city lazima wachezee kichapo leo
Sijui nimwambie Invisible....!!! Au niache tu maana ban si nzuri hata siku moja.nishasema mbeya city wasipokula kichapo nitaomba ban...haiwwezekani katimu kamepanda daraja kimagumashi katusumbue sisi wakongwe..leo mbeya city ni kichapo tu..hakuna huruma
Kwa kuwa mi ni mtu mwema nisiyependa kuona watu wakifedheheka, Ee Mungu naomba hawa watu leo watoke suluhu.
Usitishie kujamba wakati unaharisha, kama vp niwatonye wahusika (Mods) wakuandalie japo mapumziko ya mwezi mmoja tu.nishasema mbeya city wasipokula kichapo nitaomba ban...haiwwezekani katimu kamepanda daraja kimagumashi katusumbue sisi wakongwe..leo mbeya city ni kichapo tu..hakuna huruma
Kwa kuwa mi ni mtu mwema nisiyependa kuona watu wakifedheheka, Ee Mungu naomba hawa watu leo watoke suluhu.
Yanga apigwe babu......mtaani hakutakalika wakishinda.
Timu zote zikicheza hakuna kelele ila Yanga. wakiingia tu wanjani tu kila mtu makamasi yanamtoka. Utafikiri ni CHADEMA kamkutano kadogo tu ka dakita tano utamwona RPC jasho linamtoka utafikiri kaambiwa atashushwa cheo. tuachieni YANGA YETU NA CHADEMA CHETU WOTE HAWA DAIMA MBELE
Samahani mkuu unamaanisha Yanga wamenunua mechi kwa hiyi Lazima Mbeya city leo apakatwe au?!
Yanga lazima wapigwe, na watapigwa tu!